Picha: Diamond amnunulia ndinga mpya Zari

Mpwaaaaaaah taratibu mambo yakoooh, mbna sion hiyo caption? Au macho yangu yapo quarantine lol[emoji23][emoji23][emoji23]

Usiniambie wamekupofua macho mpwa[emoji23], caption c kwenye picha hapo baba T
 
Usiniambie wamekupofua macho mpwa[emoji23], caption c kwenye picha hapo baba T
[emoji23][emoji23][emoji23] ndo nmeona mpwa hapo kwa chini lol, eeeeh huyu bidada ana [emoji294] mweeeeeeh
 
Wiki mbili hizi mbaya sana kwa domo ,katoa audio tu msiba huoo ukateka insta. Katoa video shishi na uchebe wake wamejaa tele insta.

Kapewa kiki south bado watu hawashtukidaah
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ila wewe nimecheka
 
Wiki mbili hizi mbaya sana kwa domo ,katoa audio tu msiba huoo ukateka insta. Katoa video shishi na uchebe wake wamejaa tele insta.

Kapewa kiki south bado watu hawashtukidaah
Watu mnajua kujiongeza
 
K inalipa sana mjini nashangaa pisi kali mjini zinalia njaaa, na siku ya mwisho zitaulizwa kwa nn zilishindwa kutumia K vizuri ata zitoe zaka tu,🤣🤣🤣

Ww ndo master wa wambea nakwelewa mama hadi na picha unatoa, unafaa kuwapa shilawadu extra ata script kidogo
 
Mbona miguu myeusi halafu uson mweupe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…