PICHA: Dkt. Bashiru Ally Kakurwa akiwasili kwenye mkutano Mkuu wa CCM unaendelea huko Dodoma

PICHA: Dkt. Bashiru Ally Kakurwa akiwasili kwenye mkutano Mkuu wa CCM unaendelea huko Dodoma

Baraka Mina

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2020
Posts
586
Reaction score
590
Katibu Mkuu Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi na Mbunge wa kuteuliwa wa JMT Ndg. Dkt. Bashiru Ally Kakurwa amewasili katika ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma kwa ajili ya kushiriki Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi .

IMG-20210430-WA0082.jpg


Katika Mkutano huu unaendelea muda huu katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndg. Samia Suluhu Hassan anapigiwa kura ili kuthibitishwa kuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Taifa.
Fuatilia hapa matangazo ya moja kwa moja kutoka Dodoma.
MKUTANO MKUU MAALUM WA CCM, DODOMA
Hakika Kazi Inaendelea.

 
Katibu Mkuu Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi na Mbunge wa kuteuliwa wa JMT Ndg. Dkt. Bashiru Ally Kakurwa amewasili katika ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma kwa ajili ya kushiriki Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi .

View attachment 1768714

Katika Mkutano huu unaendelea muda huu katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndg. Samia Suluhu Hassan anapigiwa kura ili kuthibitishwa kuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Taifa.
Fuatilia hapa matangazo ya moja kwa moja kutoka Dodoma.
MKUTANO MKUU MAALUM WA CCM, DODOMA
Hakika Kazi Inaendelea.

Mrundi kafukuzwa na ccm asili,aende chato akakae na mrundi mwenzake
IMG_20210430_035659.jpeg
 
Katibu Mkuu Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi na Mbunge wa kuteuliwa wa JMT Ndg. Dkt. Bashiru Ally Kakurwa amewasili katika ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma kwa ajili ya kushiriki Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi .

View attachment 1768714

Katika Mkutano huu unaendelea muda huu katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndg. Samia Suluhu Hassan anapigiwa kura ili kuthibitishwa kuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Taifa.
Fuatilia hapa matangazo ya moja kwa moja kutoka Dodoma.
MKUTANO MKUU MAALUM WA CCM, DODOMA
Hakika Kazi Inaendelea.



Huyu ni Jabali kweli kweli
 
Katibu Mkuu Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi na Mbunge wa kuteuliwa wa JMT Ndg. Dkt. Bashiru Ally Kakurwa amewasili katika ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma kwa ajili ya kushiriki Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi .

View attachment 1768714

Katika Mkutano huu unaendelea muda huu katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndg. Samia Suluhu Hassan anapigiwa kura ili kuthibitishwa kuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Taifa.
Fuatilia hapa matangazo ya moja kwa moja kutoka Dodoma.
MKUTANO MKUU MAALUM WA CCM, DODOMA
Hakika Kazi Inaendelea.



Kazi aliyoifanya Bashiru inaheshimika, tunamuombea zaidi. Na Kama tu alivyosema mama “historia yako inakufuata”
 
Naona una demka tu
Kwa kukusaidia maana unakosa uelekeo.
Mkutano Mkuu wa kumchagua Mgombea wa nafasi ya Urais 2020 pamoja na Halmashauri Kuu ya CCM 2020 kwa ajili ya kumchagua mgombea wa Urais Zanzibar Ndg. Kinana alikuwepo.
 
Back
Top Bottom