Picha: Ephrahim Kibonde wa Clouds FM atiwa nguvuni

Ni tangazo bhana, kwani ili liwe tangazo lilipaswa liweje?
 
Shame on u Kibonde sikutegemea unaweza kufanya vitu kama ulivyofanya leo pale ubungo asbh uuuuh ivi nn maana ya public figure ya Tz hii mnatuonyesha nn duh Polen clouds maana jamaa kachemsha.




UPDATES:






Vuta ile picha yake ya BAKI NJIA KUU... na akiwaga anatangaza shirika la nyumba NHC.
 

Attachments

  • 10588932_683462811730041_1390037634_n.jpg
    46.3 KB · Views: 457
Mpango wake wa kupewa ukuu wa wilaya umeota mbawa,na hivi leo jumamosi mpaka jumatatu Mungu akijalia.
 
ndani ya lockup ya ostabay,maskini celebrity wetu




Haya jamani mi nawaachia nyie muamue kama hii ni shooting ya tangazo la utii wa sheria bila shurti au ndo wanataka kutupotezea issue

 
Sasa hivi jamaa huko selo na ubaridi huu watakuwa wamesimamisha kisawasawa mipango yao, kibonde ili asiumie, itabidi apanue sana mawazo yake ili kukabiliana nao manina zake.
 
sasa...... ninawaza wakimlaza huko selo si watamuharibia dozi yake????!!!!!! au kuna utaratibu wa huduma ya kwanza mahabusu??. So inhumane... kwi kwi kwi 😛eep:
 
Pole yake Mzee wa michepuko!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 

Very soon utaamini tu kama mpaka sasa hujaamini.

Muhalifu huyu alikimbia eneo la tukio akaenda kukamatwa eneo lingine na tumemtupa lock up.
Endelea kukataa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…