Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kuitukana JamhuriKazi zingine ni za laana haswa
Huoni?Wapi nimetaja jamhuri?
Kwenda zako hukoSafi sana na kazi nzuri kwa askari mwetu wakakamavu na waliotayari kuwadhibiti wahuni muda wowote ule watakaojaribu kuleta chokochoko .Mdude alipowaona hao ikabidi akajifiche vichakani huko na mibangi yake. Mpaka muda huu ameendelea kujificha kama panya.
Toka hapa na mahasira zako.ungekuwa unajiamini ungeingia barabarani asubuhi lakini siyo kuja huku kuropoka kama mwehuKwenda zako huko
Mkuu, punguza hicho kitu unatumia. Ni hatari kwa afya yako.Safi sana na kazi nzuri kwa askari mwetu wakakamavu na waliotayari kuwadhibiti wahuni muda wowote ule watakaojaribu kuleta chokochoko .Mdude alipowaona hao ikabidi akajifiche vichakani huko na mibangi yake. Mpaka muda huu ameendelea kujificha kama panya.
Kumbe mwehu ana uwezo wa kumtambua mwehu mwenzie? Hii mpya.Toka hapa na mahasira zako.ungekuwa unajiamini ungeingia barabarani asubuhi lakini siyo kuja huku kuropoka kama mwehu
kongole nyingi sana kwa Jeshi retu ra porisi nnjini, fijana wamafwanya kasi musuri said yaan
raia hawajaamua tu, tunashukuru Mungu kwa utulivu na amani ya watanzania. ukiona raia wameamua, hao askari ni wachache sana na watakimbia wenyewe.
Tulia we dogoToka hapa na mahasira zako.ungekuwa unajiamini ungeingia barabarani asubuhi lakini siyo kuja huku kuropoka kama mwehu
Tulia we dogoToka hapa na mahasira zako.ungekuwa unajiamini ungeingia barabarani asubuhi lakini siyo kuja huku kuropoka kama mwehu
Watoa taarifa wanaandamana lini?Safi sana na kazi nzuri kwa askari mwetu wakakamavu na waliotayari kuwadhibiti wahuni muda wowote ule watakaojaribu kuleta chokochoko .Mdude alipowaona hao ikabidi akajifiche vichakani huko na mibangi yake. Mpaka muda huu ameendelea kujificha kama panya.
Polisi wameandamanaToka hapa na mahasira zako.ungekuwa unajiamini ungeingia barabarani asubuhi lakini siyo kuja huku kuropoka kama mwehu