Picha: Gari la serikali na mafuta ya serikali mtu anatumia shangingi hilo kwenda kulewa na kubebea malaya kwa Kodi za walala hoi


acha kupotosha,kuna baadhi ya gari ni kwa ajili ya matumizi ya viongozi yani gari impeleke kazini na kila sehemu anapoenda (sio kulewa). kwa mfano jk wakati anaenda likizo alikuwa anaenda kwao na gari za serikali
 
Natumaini ingekuwa gari ya ACT ungetolea Naomi haya haya.
 
hakuna kitu kinauma kama kutaka kumfanyia ubaya mwenzio na kutaka kumharibia kazi mwenzako kwa kumpkazia ufirauni huku ukitegemea unaowaambia wakusapoti alafu ote wahame kumtetea unae mshutumu hpo kinachofataga huwa ni mbio na fedheha kama aliyopata mleta thread shame on you
 
Picha ya malaya na walevi tafadhali
 
Kuna watu wamepinda nyie acheni. Pamoja na mkwara wa waziri mkuu lakini wapi!

SHANGINGI hilo, jana usiku mtu kalewa nalo chakali!

View attachment 1498150
Bila shaka wewe utakuwa Mwalimu kwa muktadha wa Mada yako maaana siyo kwa Majungu na Umbea huo. Gari ya Shirika la Umma kuwepo hapo unashangaa na kuleta mada za KUKOSA? Je kama ni TANESCO wanafuatilia mteja/Bar halafu wewe umepiga picha unaanzishia uzi. Acha kutumia Tecno yako kipuuuzi hivyo
 
Haina shida.....kumbuka hii ndo maana ya awamu ya tano......jiwe kampa mzaramo sh 30,000 za kuhonga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…