Picha: Gari yaibwa Afrika ya Kusini na kupatikana baada ya masaa matatu ikiwa kwenye hali hii

Kubomoa hakunaga ufundi hao wanakuaga wazuri kwenye kubomoa tu lakini ukiwaambia walirudishe kama mwanzo lilivyokua wanasanda
Hapo hawajabomoa wamefungua mkuu. Kulirejesha lilivyokuwa ni rahisi
 
Huku uswahilini maduka mengi sana ya spare yameandikwa hivyo...Duka la vifaa vya conputer na software kaandika softwere
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
mhhh hawa ni wezi sio bure, nadhani wana mafunzo maalum ya kufungua magari
 
Kuna MTU aliamka akakuta gari yake ipo juu ya mawe.
Watu wametembea na matairi
 
mbona hawaja toa kioo cha mbele na iko cha nyuma ambavyo ndo vikubwa
 
Kuna MTU aliamka akakuta gari yake ipo juu ya mawe.
Watu wametembea na matairi
Huyo walimuulumia huku kuna jamaa alikuwa anapenda kulaza ka fuso kake nje siku moja alikuta wauni wamefungua dif wakasepa nayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…