ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Sahihi kabisa mkuu,Kama una furaha na Maisha yako safi, maana kuna Watu wana Mahekalu ila awana furaha hata chembe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unanikumbusha ile nyimbo ya Uliza Kiatu. Na pia sema jumba langu. maana hapa hata demu hachomoki la maana sanaKama walivyo vijana wengi na Mimi nimepanga Chumba mitaa fulani hapahapa mjini dar.nawakaribisha wote kunitembelea
Nimekuletea picha za chumba changu.chumba changu kimsingi kina vitu vingi kama vile stoo ila maisha ndo hivo yanaendelea View attachment 1064789View attachment 1064790View attachment 1064791View attachment 1064792View attachment 1064793
Hilo ghetto linaonesha bila kuacha shaka mmiliki ni kikojozi mbobevu.Kama walivyo vijana wengi na Mimi nimepanga Chumba mitaa fulani hapahapa mjini dar.nawakaribisha wote kunitembelea
Nimekuletea picha za chumba changu.chumba changu kimsingi kina vitu vingi kama vile stoo ila maisha ndo hivo yanaendelea View attachment 1064789View attachment 1064790View attachment 1064791View attachment 1064792View attachment 1064793
Kisigino kilivyoisha upande unajua tu huyu mkuu ni muongo tena conman! HahahahahaaaMKUU IKO KIATU KAMA KINAPIGA MIAYO HV HAHAHA KINANJAA
Voxser empire
Abadili ID. Ajiite Yahaya Makumbena.Hahaha haha haha ndege John
Sent using Jamii Forums mobile app