Picha: Hamissa Mobeto ajifungua mtoto wa kike

Baraka za watoto nazijua cz na ushahidi istoshe wengi wanapata mimba wanazitoa mwisho w cku ndio vilio.angalia cku hizi vijana wengi w kiume wanapenda kua n watoto kuliko kuoa

Asante sana mtoa mada.hebu pata Coke barriiiidii yenye jina lako bili kwangu.kutoa mimba ni ushamba na as long as umevua chupi ukacheza kibaba baba ulishafanya dhambi.wacha watu wazae waongezeke waihaze dunia.kwan nani ana uhakika kama yeye ni halali au haramu!aaargghh
 
Makamo haya niliyo nsijue maana ya uzinzi?

inawezekana haujui....

anyway....uzinzi ni kitendo cha wanandoa kwenda kufanya tendo la ndoa nje ya nchi yao....mfano...mme kwenda kufanya tendo la ndoa na mwanamke mwingine ambaye si mkewe....na mke hivyo hvyo.....

halafu kuna kitu kinaitwa uasherati.....ni kitendo cha watu ambao hawajafunga ndoa kufanya tendo la ndoa.....uasherati unafanywa na watu ambao wote hawajafunga ndoa......

hizo ndiyo tofauti ya uzinzi na uasherati.....

sasa kama mtu amezaa na mme wa mtu ama mke wa mtu hao wamefanya uzinzi.....lakini ikatokea kwamba mtu amezaa bila ndoa na aliyezaa nae hajafunga ndoa basi hao wamefanya uasherati.....sasa kwa kesi kama hii utasema hawa watu wamefanya uzinzi ama uasherati....? na je kwenye amri 10 za Mungu uasherati ipo?
 

nimechekaaaaa
hahaaaaaa
 
Hapo ndipo napowashangaa binadam, kufurahia kuzaa nje ya ndoa, hata vitabu vya dini haviruhusu lkn kutwaa kuchekeleaa na kuona fahari, kua na mtoto wa haram
Hii teknolojiaa nakuambia itatutoaa kamasii wallahi tena,


Labda kwetu binaadamu lakini kwa Mungu asiyedanganyika ameshagundua siku nyingi kuwa asilimia tisini na tisa ya ndoa ni haramu...maigizo matupu na wala hakuna tofauti na kuzaa bila ya ndoa.
 

Sister what are you trying to say? Am waitiiing dear...
 
kama utakuwa umenifwatilia tangia mwanzo nahisi utakuwa umenielewa.......au kuna mahali unahitaji ufafanuzi....

Mi labda nimeelewa vibaya.Kweli kabisa katika amri kumi uasherati haipo,.
 
Mi labda nimeelewa vibaya.Kweli kabisa katika amri kumi uasherati haipo,.

mie binafsi sijawahi kuiona......nimeiona uzinzi.....labda kama kuna maana nyingine ya uzinzi na uasherati tofauti na hizo ninazozijua....
 

Kama kwenye amri 10 hakuna basi inabadilika na kuwa sio dhambi??
Tuache kujipa moyo.
 
Mi labda nimeelewa vibaya.Kweli kabisa katika amri kumi uasherati haipo,.

Hata kama haipo lakini ni dhambi....kwani kutoa mimba ipo katika amri kumi?lakini mbona ni dhambi?

Ukisoma biblia yako vizuri....yesu aliwaambia wanafunzi wake kuwa amri kuu nayowaachia ni upendo.

Ukiwa na upendo hutozini,huto tamani mali ya mwenzio,huwezi iba,sengenya na vitu vifananavyo na hvyo.
 
Hukuzaliwa kwenye ndoa?? Una hakika babaako hakumuingilia kwa nguvu mamaako ( kubaka)?? Unaelewa maana ya ndoa wewe?

Mbona unawaka hasira sana?Calm down and relax, just be matured, do not speak like a muppet. Speak about me, never mention about my mother and my father again coz You don't know anything abt them, You don't knw where they are.

Ungeonekana una akili nyingi hapa kama ungejibu swali la msingi Mtoto haramu uwa yukoje yukoje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…