Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
AHahahhh binamu mchokoz wewe, ndio hvyo mwenzangu nasikia bibie mbili ilikuwa haikai kutwa kupiga simu kuulizia kwa watu kama kweli, alichanganyikiwaje? Ndomo kasema bora afe kuliko kumrudia wema, eti wema nae anajifanya hamtak diamond ata aje na bilgate mmh masikin anaanza kuugua ugonjwa wa akili
Hahahaaa ujue ulinichekesha maana kuna siku nilibahatisha nikakuta in my shoes iko hewani akawa anawaasa team zake eti wasimfuatilie tena diamond maana yeye amesha move on. ..
Ndio kumove on gani huko huku bado analia?