AHahahhh binamu mchokoz wewe, ndio hvyo mwenzangu nasikia bibie mbili ilikuwa haikai kutwa kupiga simu kuulizia kwa watu kama kweli, alichanganyikiwaje? Ndomo kasema bora afe kuliko kumrudia wema, eti wema nae anajifanya hamtak diamond ata aje na bilgate mmh masikin anaanza kuugua ugonjwa wa akili
Ahahahahah, leo wanampondaje zari? Eti wanamfananisha na hamisa eti mwenzake kafanya siri, hawajui zari ni super staa huyo mchina ata angeweka tumbo lake kwenye mabango tusingeshtuka, batu na nyota zao banya
ndo lea tena na uwapeleke shule,uwatume na baadae wakuletee wajukuu na wakulee ukizeeka
Ndo nani kwani jamani, tuwekeni wazi? Ni yule celebriti anayeita mbwa watoto wake?
Kwa hizo za Hawa mastaa wetu,Ina maana hawatumii kinga,au wanazaa baada ya kupima kwanza?,..na ukimwi huu mhhh sijui...
Mama usiite ushenzi buannaa plz!
Kwa iyo unamaanisha watoto wanaopatikana hapo ni washenzi?
Mhuuu😕
Kuzaa nje ya ndoa ni zambi kama kutombeka tuu! Sema kunaacha alama! Tumwache Mungu aseme sio sisi vitombeko.Tena anayezaa ni jasiri kuliko anayetoa.
Utamu wataupata wapi??masikini ndo tunaogopa ukimwi lakin wao bora hela tu
Khaaa! Jamani warumi umeniuzia kesi hivihivi? Umesahau ile siku nilikua pamoja na wewe kupinga huu ushenzi wa kuzaa kabla ya ndoa? geniveros na wenzie akina Evelyn Salt ndio waliokua wanatetea.
Mimi namuogopa Mungu sana, siwezi na wala sitokaa nizae nje ya ndoa na Mungu aniepushie....
we umezaliwa ndani au nje ya ndoa??Hapo ndipo napowashangaa binadam, kufurahia kuzaa nje ya ndoa, hata vitabu vya dini haviruhusu lkn kutwaa kuchekeleaa na kuona fahari, kua na mtoto wa haram Hii teknolojiaa nakuambia itatutoaa kamasii wallahi tena,
Hahahaaa aisee binamu umenikumbusha nina kaka yangu jamani anampenda Hamisa balaa.Sasa sijui hizi taarifa akizipata atakua katika hali gani!
Mwenyewe alikua kamfollow insta anamsifia balaa hata nikimuambia ni edit na filters zinafanya kazi hasikii.
Hahahaaa ujue ulinichekesha maana kuna siku nilibahatisha nikakuta in my shoes iko hewani akawa anawaasa team zake eti wasimfuatilie tena diamond maana yeye amesha move on. ..
Ndio kumove on gani huko huku bado analia?
Yani liko vzuri sio la bibie limetepweta ka mlenda sijawahi ona mwenye mimba akawa na tumbo design Ile aisee
Naomba leo nilijibu hili kwa mara ya kwanza na ya mwisho....
sidhan kama kuna mwanamke ambae anatamani kuzaa bila kuolewa
mi kama mie nmezaa kabla ya kufunga ndoa SABABU NI...tofauti ya dini zetu mie na baba mtoto wangu maza akatia ngumu so nifanyeje nimuache?kisa dini???BIG NO i love him i love him i love him sana nkaamua kubeba mimba kabisa na sahv bi mkubwa kaelewa somo inshaalah tuombe uzima mtapewa mwaliko....whatever name mwanangu aitwe awe wa pembeni ya ndoa awe wa katikati to hell I JUST LOVE MY SON MNOOOOO
mi nmezaa before ndoa no one ll ask y sijaolewa sasa we olewa afu usizae ujionee maswali yenye SECTION A, B, C, D na E...
CC warumi, geniveros na wengine waliozaa kabla ya ndoa kwa sababu zao maalum
Ndio maana team pwanya road wanajiashua wapo kwenye movement ya kutomwongelea mtu mwingine? He he heee...wasipofatilia habari za Zarinah zitawafata ndotoni...
Jamani tumbo la Zari kutepeta mnaona ajabu gani? Hata kama kajitahidi kujitunza ila tujue kua naye ni mwanamke wa kawaida kama wengine.
Hili tumbo ni la nne sasa mnategemea nini? Asikuambie mtu kuzaa ni kuzaa tu hata kama kajitunza lakini sio kote lazima kuna sehemu ukweli utabaki kua katotoa tena wengi!