Picha: Hamissa Mobeto ajifungua mtoto wa kike

Picha: Hamissa Mobeto ajifungua mtoto wa kike

Nifa kama ww ni mwanamke naomba huu mdomo na maneno yako yawe ya jf tu(kufurahisha genge na kijiumaarufu) ila kama uko hivyo in real life I see we ni ile design ya wadada wa vigodoro.. yaan kuna vile vidada flan hivi vya uswazi vilivyobahatika kusogeza madarasa(from the way u write unaonekana hujaishia la 7 D) maana waandishi wa type yako ni kina dougie master(thou yeye nahisi hamna shule) wale kina ashaboko, ashangedere yaan kigodoro style... maana unaropoka mpaka unapoteza haiba ya kike #kisrani

My attitude is a result of your actions! So, if you don't like my attitude blame yourself!
Hiyo ndiyo falsafa yangu.Sasa wewe ndugu yangu santa diaba umetoka huko ulikotoka na kunivamia bila kujua malumbano yameanzia wapi na kuanza kunipa tuhuma na kunitafsiri kwa jinsi ambayo sivyo nilivyo kabisa.
Mimi kama mimi nifah hua sipendi ugomvi na mtu ila ni mwepesi kukasirika haraka na hata hivyo hasira zangu hua hazidumu sababu mimi sina kiburi.
Na usichokijua ni kua mimi sio mswahili kabisa! Hayo mambo yako sijui ya vigodoro nayasikia kwa watu tu.
Huyo ndiye nifah. ...nadhani utakua umenielewa.
 
Last edited by a moderator:
Binamu utatufukuzia mbea mpya ujue

Hahahaaa,sio hivyo binamu ni katika kuwekana sawa tu.Mimi sio mnafki ukinikera nakupa vyako halafu tunaenda sawa.Na mbona tumeshamalizana na sinyoritah?
Na umbea uendelee chama limeongezeka.
 
Last edited by a moderator:
My attitude is a result of your actions! So, if you don't like my attitude blame yourself!
Hiyo ndiyo falsafa yangu.Sasa wewe ndugu yangu santa diaba umetoka huko ulikotoka na kunivamia bila kujua malumbano yameanzia wapi na kuanza kunipa tuhuma na kunitafsiri kwa jinsi ambayo sivyo nilivyo kabisa.
Mimi kama mimi nifah hua sipendi ugomvi na mtu ila ni mwepesi kukasirika haraka na hata hivyo hasira zangu hua hazidumu sababu mimi sina kiburi.
Na usichokijua ni kua mimi sio mswahili kabisa! Hayo mambo yako sijui ya vigodoro nayasikia kwa watu tu.
Huyo ndiye nifah. ...nadhani utakua umenielewa.

Kama hapo hauna uswahili na hio mipasho ya vibarazani unayowapa mnao argue baasi uswahili umeadvance.. anyways malumbano yenu nimeyasoma.. actually hua nasoma comments nyingi za watu humu BTW thats my perception NO HARD FLNGZ
 
Last edited by a moderator:
warumi toa neno "mkosi" mana huo mkosi analeta nani....? lakini swala la kuishushia heshima familia hilo la kweli.....mana wazazi wanaonekan wamekushindwa kwenye malezi ndiyo maana umezaa kabla ya ndoa......

lakini pia......kila mtu hakuna ambae anajua kama anaweza kuzaa kabla ya ndoa....na ndiyo maana Evelyn Salt amesema kuna sababu mbalimbali.....

nami nawapa big wale ambao kutokana na sababu mbalimbali wameamua kuzaa kuliko kuua.....mana kuua ipo kwenye amri 10 za Mungu ambazo amekataza.......ila kuzaa kabla ya ndoa sijaona kama ipo kwenye amri 10 za Mungu.....tafakali shukua tahadhari......

Kuzaa nje ya ndoa si inabidi uzini kwanza?

Jee kuzini haipo kwenye amri kumi??
 
Last edited by a moderator:
Kwa mwanamkee anaejiheshimu, na kukataa viofa vidogo vidogo, vya kipumbavuu naamini kabisa lazima akae chini na mzazi wake hasa wakike wazungumzee, na lazima atapata ushaurii bora kabisa wwnye kumfaa na Kama ni msikivuu lazima ata tii, ila Kama ni penda cha bure, (lunch,lift,poketmoney) lazima wanaumee wakunjueee. Halafuu ndoaa atasikiliziaa kwenye bombaa

Ni mifano hai nina rafiki zangu tunafanya nao kazi na mshahara safi semina kibao,safari nchi za nje kwa mwaka hata mara tatu na wametulia sana problem hao wachumba yaani km vile uadolescence haujaisha wana mambo ya ajabu ajabu na wao wanakazi nzuri kila disco ni la kwao kuuoa wanakuambia muda bado ,mpaka nikiwaona wamelewa hivi unajifikiria hivi ndo baadae ataitwa baba huyu?ni majanga gani sijui kwa hiki kizazi
 
Hivi uyo mtoto haramu huwa yukoje??Tofauti yake kimaumbile na hao wengine ni nn labda?Ebu acheni maneno mabaya kwa watoto, Kuharibu muharibu nyie wazazi kwa starehe zenu ubaya mumpe mtoto, Hakuna mtoto haramu. Mtoto ni mtoto tu aiseee
 
Hivi uyo mtoto haramu huwa yukoje??Tofauti yake kimaumbile na hao wengine ni nn labda?Ebu acheni maneno mabaya kwa watoto, Kuharibu muharibu nyie wazazi kwa starehe zenu ubaya mumpe mtoto, Hakuna mtoto haramu. Mtoto ni mtoto tu aiseee

Eti mtoto haramu ni yule anayetokana na tendo la kujamiiana baina ya wazazi wake ambao sio wanandoa.
Yeye mtoto wala hakujua kama atazaliwa na akizaliwa wala hajui kama wazazi walioana au la.
Dhambi wafanye wazazi uharamu aubebe kiumbe ambaye hakupenda wala hakuomba kuzaliwa.
Nasema tena haramu ni lile tendo wala sio mtoto malaika ambaye anakuja kuharibiwa na dunia.Walaumiwe wazazi sio mtoto.
Watoto ni taifa la kesho, tuwapende, tuwanenee mema sio kuwapandikiza spirits of rejections.
Mwishi kabisa kama tukistarehe sie, tukapata katoto na hatujaoana tutake responsibility for our actions.
Mwisho wa siku hata Obama, Diamond, Oprah, na watu wengine wenye outstanding life and success wote walishawahi kuitwa maharamu.
 
Eti mtoto haramu ni yule anayetokana na tendo la kujamiiana baina ya wazazi wake ambao sio wanandoa.
Yeye mtoto wala hakujua kama atazaliwa na akizaliwa wala hajui kama wazazi walioana au la.
Dhambi wafanye wazazi uharamu aubebe kiumbe ambaye hakupenda wala hakuomba kuzaliwa.
Nasema tena haramu ni lile tendo wala sio mtoto malaika ambaye anakuja kuharibiwa na dunia.Walaumiwe wazazi sio mtoto.
Watoto ni taifa la kesho, tuwapende, tuwanenee mema sio kuwapandikiza spirits of rejections.
Mwishi kabisa kama tukistarehe sie, tukapata katoto na hatujaoana tutake responsibility for our actions.
Mwisho wa siku hata Obama, Diamond, Oprah, na watu wengine wenye outstanding life and success wote walishawahi kuitwa maharamu.

They (Whites and Arabs) colonized us, walipoondoka they left behind their religions so that we can be colonized by religion!!Sisemi tusiamini dini Nope, Mi natamani watuambie tu uyu mtoto haramu anakuwaje kuwaje, je ni tofauti na hao wengine? wala sitaki kujua conditions zinazomfanya uyo mtoto aitwe haramu
 
Eti mtoto haramu ni yule anayetokana na tendo la kujamiiana baina ya wazazi wake ambao sio wanandoa.
Yeye mtoto wala hakujua kama atazaliwa na akizaliwa wala hajui kama wazazi walioana au la.
Dhambi wafanye wazazi uharamu aubebe kiumbe ambaye hakupenda wala hakuomba kuzaliwa.
Nasema tena haramu ni lile tendo wala sio mtoto malaika ambaye anakuja kuharibiwa na dunia.Walaumiwe wazazi sio mtoto.
Watoto ni taifa la kesho, tuwapende, tuwanenee mema sio kuwapandikiza spirits of rejections.
Mwishi kabisa kama tukistarehe sie, tukapata katoto na hatujaoana tutake responsibility for our actions.
Mwisho wa siku hata Obama, Diamond, Oprah, na watu wengine wenye outstanding life and success wote walishawahi kuitwa maharamu.

johari ana mimba ya miezi minne
 
Back
Top Bottom