Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Japan wana mtoto wao Jasiri alimbeba mdogo wake mgongoni kwenye mazishi alikua na hili shati ni balaa enzi USA katimua bomb la nyuklia na huyu Mzala Maghayo aliambulia moja kutoka kwa Mjomba ake na akapandia ndege hilo hilo bila hata show money...Wa
Wanakwambia japan yalitoka mawili tu jingine alivaa marehemu akira san alifariki kwenye mabomu ya nyuklia kipindi hiko
Ndo limebaki hilo mojaπ
Mzuka wanajamvi!
View attachment 2899939
Sema mshikaji ni Mwana sana, hana ubaya, ila kuna watu fulani wanatamani hata leo awe R.I.P ila na yeye anajua na huwa anafanya makusudi zaidiπ€£Sema ile ID ya mwanzo hilo shati lilikua linaonekana kwa mbali sana sema huku mpaka nyoka wa pili anaonekana...
Wabongo ukiwa na fursa kidogo wanakuchukia mbaya bila sababu ila ukiwa na shida shida hivi ndio wanajifanya marafiki ule wa kinafiki tu..Sema mshikaji ni Mwana sana, hana ubaya, ila kuna watu fulani wanatamani hata leo awe R.I.P ila na yeye anajua na huwa anafanya makusudi zaidiπ€£
Baangaluka baba, banatusemeya na nguo zetuWasukuma na nguo za rangi rangi kama wamelaniwa
Yaani ufanikiwe halafu ukayafiche mafanikio yako uvunguni mwa kitanda? Sasa struggles zote zilikua za kazi gani? Huu si ni ufala? Yaani niwashe taa halafu ikiwaka niifunike na ndoo na magunia?Wabongo ukiwa na fursa kidogo wanakuchukia mbaya bila sababu ila ukiwa na shida shida hivi ndio wanajifanya marafiki ule wa kibafiki tu..
Alimpata demu wa Kihadzabe kisa hilo shati ndio ikawa kauka nikuvae yake.Shati lake la Dragon ndiyo lilikuwa shati kali kuliko yote pale streetπ
Cheki bobu wa kizamani,naona unyama shingoniπππ
Hahahahaha...hapo chini itakua kapiga suruali ya digrizi na kiatu raba mtoniAlimpata demu wa Kihadzabe kisa hilo shati ndio ikawa kauka nikuvae yake.