Picha: Hii nchi imepitia mambo magumu mno

Picha: Hii nchi imepitia mambo magumu mno

Abraham Lincolnn

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2018
Posts
2,754
Reaction score
4,975
Screenshot_20240328-115517_Gallery.jpg
 
Kwanza kabisa nitoe pongezi zangu za dhati kwa mama, mama anaupiga mwingi, tumpongeze sana mama hadi hapa tulipofikia.
 
na sasa hivi wanakwenda kuuza/ kugawa bure Air Tanzania yetu pamoja na ndege zetu tulizonunua kwa jasho letu, wameshaandaa mazingira ya hilo kutokea, kwa kifupi wanapora mali zetu …
 
na sasa hivi wanakwenda kuuza/ kugawa bure Air Tanzania yetu pamoja na ndege zetu tulizonunua kwa jasho letu, wameshaandaa mazingira ya hilo kutokea, kwa kifupi wanapora mali zetu …
Hilo si lakuuliza,,likiisha Hilo na reli nazo tunaenda kabidhi Kwa kina Ankoli Ahamedi Suluhu Hasani!!
 
Maafisa wa uvuvi wakipima samaki
 

Attachments

  • 46c138cae2-samaki-bungeni.jpg
    46c138cae2-samaki-bungeni.jpg
    276.4 KB · Views: 4
Back
Top Bottom