Hamna kituHawawezi wako makini sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna kituHawawezi wako makini sana
pessimistic peopleHamna kitu
Alitumwa na chama kazi Maalum. Muache akaeSugu bado yuko majuu?
Yuko kwenye biashara zake si mulimuita Mugabe;Wapi comrade Mbowe sijamuona siku nyingi on air
Una lako jambo,hatukuungi mkono!Wamekusanya m64 tone tone wameanza matumizi sasa. Kamati kuu dhaifu kuwahi kutokea kwenye historia ya chadomo.
Sisi huku sijui huwa maombi hayafanywi!?Wako vizuri sana.
Wameanza na Mungu watamaliza na Mungu
Uyu wenje uyu alitakiwa awe amejiuzuru mapema sana, uyu akiwa katika vikao inatakiwa piga story za mwendo kasi badae nje ya kapeti piga za maanaMatukio katika picha wakati wa kikao cha Kamati Kuu ya Chama kinachoendelea muda huu Makao Makuu ya Chama Mikocheni Dar es salaam.
Kikao hicho kinaongozwa na mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Tundu Lissu. Kikao hiki kinafanyikia Makao Makuu ya Chama Mikocheni Dar Es Salaam
Hatimaye Ezekiah Wenje katia timu. Mambo ya kususa susa yameisha.
View attachment 3266909View attachment 3266910View attachment 3266911View attachment 3266912View attachment 3266913View attachment 3266914View attachment 3266915View attachment 3266916View attachment 3266917View attachment 3266918View attachment 3266919View attachment 3266920View attachment 3266921View attachment 3266922View attachment 3266923View attachment 3266924View attachment 3266925View attachment 3266926View attachment 3266927View attachment 3266928View attachment 3266929View attachment 3266930View attachment 3266931View attachment 3266932View attachment 3266933View attachment 3266934View attachment 3266935View attachment 3266936View attachment 3266937View attachment 3266938
Duuh, nimemwona Ezekiel Wenje bwana🤔🤔🤔Matukio katika picha wakati wa kikao cha Kamati Kuu ya Chama kinachoendelea muda huu Makao Makuu ya Chama Mikocheni Dar es salaam.
Kikao hicho kinaongozwa na mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Tundu Lissu. Kikao hiki kinafanyikia Makao Makuu ya Chama Mikocheni Dar Es Salaam
Hatimaye Ezekiah Wenje katia timu. Mambo ya kususa susa yameisha.
View attachment 3266909View attachment 3266910View attachment 3266911View attachment 3266912View attachment 3266913View attachment 3266914View attachment 3266915View attachment 3266916View attachment 3266917View attachment 3266918View attachment 3266919View attachment 3266920View attachment 3266921View attachment 3266922View attachment 3266923View attachment 3266924View attachment 3266925View attachment 3266926View attachment 3266927View attachment 3266928View attachment 3266929View attachment 3266930View attachment 3266931View attachment 3266932View attachment 3266933View attachment 3266934View attachment 3266935View attachment 3266936View attachment 3266937View attachment 3266938
Mbona yupo huna macho?
Wenje ndio think tank ya chademaUyu wenje uyu alitakiwa awe amejiuzuru mapema sana, uyu akiwa katika vikao inatakiwa piga story za mwendo kasi badae nje ya kapeti piga za maana
Bado sn, ht wangeshinda unaundaje serikali hapo. Hazina iko CCM hao badoo sanaaMatukio katika picha wakati wa kikao cha Kamati Kuu ya Chama kinachoendelea muda huu Makao Makuu ya Chama Mikocheni Dar es salaam.
Kikao hicho kinaongozwa na mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Tundu Lissu. Kikao hiki kinafanyikia Makao Makuu ya Chama Mikocheni Dar Es Salaam
Hatimaye Ezekiah Wenje katia timu. Mambo ya kususa susa yameisha.
View attachment 3266909View attachment 3266910View attachment 3266911View attachment 3266912View attachment 3266913View attachment 3266914View attachment 3266915View attachment 3266916View attachment 3266917View attachment 3266918View attachment 3266919View attachment 3266920View attachment 3266921View attachment 3266922View attachment 3266923View attachment 3266924View attachment 3266925View attachment 3266926View attachment 3266927View attachment 3266928View attachment 3266929View attachment 3266930View attachment 3266931View attachment 3266932View attachment 3266933View attachment 3266934View attachment 3266935View attachment 3266936View attachment 3266937View attachment 3266938
Hivyo vitoto CCM ivurugwe na nini, CCM dude kubwa snFilters zimekuwa nyingi sana.
Ona wanavyofanana sasa kama wamepaka mikorogo.
Hata hivyo WaCCM wakiona hizi wanavurugika mukichwa.
Nani kskutuma ulete uongo?Wenje ndio think tank ya chadema
LEMA Nafikiri sio Mjumbe wa Kamati Kuu, itakuwa ni Mwalikwa tu, ready to be correctedKwanini Lema havai gwanda na analipenda sana hilo shati lake jeupe, au anayo mashati mengi meupe
Bado haamini kuwa wanachama walimpora chama ,mshtuko alionao lazima utamletea athari na haswa ukizangatia umri aliionaoWapi comrade Mbowe sijamuona siku nyingi on air
Ngoja mwenye ile picha kukambatia demu uwanja wa ndege aishushe humu.Wapi comrade Mbowe sijamuona siku nyingi on air
Msigwa huko alipo anateseka tu.Duuh, nimemwona Ezekiel Wenje bwana🤔🤔🤔
Huyu jamaa si ni rafiki na "mwandani" au "informer" wa Abdul mtoto wa Mwenyekiti wa CCM taifa, Bi Samia Suluhu Hassan...?
Kwa huyu jamaa na kwa mwenendo wake, kauli zake na matendo yake wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu wa chama chao miezi miwili au mitatu iliyopita, sidhani kama CHADEMA huyu bwana ni mwenzao...
Huyu ni nyoka ndani ya chumba cha kulala...!!
Sitashangaa akifuata nyendo za Peter Msigwa kwenda anakochumia pesa za Abdul na mama Abdul a.k.a Chura Kiziwi...