Kuna raha za uswazi huku..unaeza sahau njia😂Na.mimi nisipitwe, anaandaa vumbi la Haiti, limepigwa nankitu cha voo doo, full libido
Hamna kichapo hapo mshukurini kayokoHeshima sana kwako kaka, wewe ni mmoja wa wanajf mlionifanya niupende huu mtandaoni takribani miaka 5 au 6 iliyopita.
By the way, pole sana kwa kichapo cha leo.
Mimi ni shabiki wa ngiri jeuri
OKW BOBAN SUNZU Mbona jasho linakutoka kwenye Meno?View attachment 3129959
Mr. Warthog is untouchable.
Haha hahaBuji sio Amphibia nina hakika😂
😀😀😀Mr. Warthog V16/Super Charger Turbo Engine with amazing reverse parking ability
Kasusa kushabikia mpira muhasibu wetu.OKW BOBAN SUNZU Mbona jasho linakutoka kwenye Meno?
Hamna kichapo hapo mshukurini kayoko
Anakataa foul kama ana tezi dume
Kawaida sana mkuu wangu😀
DuhNa.mimi nisipitwe, anaandaa vumbi la Haiti, limepigwa nankitu cha voo doo, full libido
Ngiri maji IHEFUMimi ni shabiki wa ngiri jeuri
Vumilia mkuu, ndo ukubwa huo.Hamna kichapo hapo mshukurini kayoko
Anakataa foul kama ana tezi dume
Haha hahaTatizo mvua imenyesha halafu jua likagoma kuchomoza...
Sema siku wakijichanganya vyura na kukubali kufungwa hio ndoitakua safari imekwiva
Naam, mwamba mwenyewe Mr. Kasongo Mbomawewo. A newly crowned king 👑 👑 👑 of the jungleMr. Warthog V16/Super Charger Turbo Engine with amazing reverse parking ability
Mfanowe na sukubass Ina maana gani? Samahani mshana jr na bujibuji musinicheke najifunza tu.