Picha: Hivi hili suala kuwahusu walimu lina ukweli ndani yake?

Hao n wale waalimu wanao nufaika Moja Kwa Moja na mama c wale waalimu wa bunda vijijini uko ambao wanakaa nyumba za kusaidiwa na Wana nchi uku serikali ikishindwa kuwajengea hata chumba kimojaa ,mwalimu mpk Leo anatumiaa kibatari uko vijijini ,wenzao wapo wanachangishaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

MaishΓ  hayaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…