heaven on desert
JF-Expert Member
- Jan 25, 2013
- 1,025
- 393
nilishasema toka awali ,
nitakuwa naweka zinazonihusu mm ,coz tarifa
nilizokuwa nawapa mlikuwa mnanibeza,so endeleen tu kuletewa story zizsizo
na uhakika za kucopy na kupaste toka kwenye mawazo ya watu wa blogs na magazeti.
Kipaji cha kupiga picha du,tutaletewa hadi vipaji vya kunya.
Kipaji cha kupiga picha du,tutaletewa hadi vipaji vya kunya.
Kipaji cha kupiga picha du,tutaletewa hadi vipaji vya kunya.
View attachment 150721View attachment 150722View attachment 150726View attachment 150727View attachment 150728View attachment 150730View attachment 150733
Namshukuru Mungu kwa kipaji NA huu binafsi,ujuzi unaonipa fursa ya kufanya kaz na watu/celebs wakubwa wanaoamini uwezo wangu
Umependa kaz zangu??niguse 0762052850.
NB;Mnaouliza post nilizozoea kuweka,nilishasema toka awali ,
nitakuwa naweka zinazonihusu mm ,coz tarifa
nilizokuwa nawapa mlikuwa mnanibeza,so endeleen tu kuletewa story zizsizo
na uhakika za kucopy na kupaste toka kwenye mawazo ya watu wa blogs na magazeti.
@WCB 4 lifeView attachment 150734
Elimu ina umuhimu wake...
Mkuu hicho ni kipaji jaribu wewe kama utaweza, kuwa best photographer in dreams za Watu na kuna ambao wanahangahika daily waweze hata kufikia alipofikia huyu jamaa lakini Hawaoni mwanga wala pa kuanzia hawajui,
Huwa nawashangaa sana Baadhi ya JF members ni wageni lakini wanawaponda sana wenzao kwa sababu tuu kuna ma Pro- JF member(wakongwe) wanafanya hivyo na bila Kujua ni kwa sababu gani ma Pro wanafanya hivyo, msifate mkumbo hawa sana history way back
Sent from my iPad using JamiiForums
Mkuu hicho ni kipaji jaribu wewe kama utaweza, kuwa best photographer in dreams za Watu na kuna ambao wanahangahika daily waweze hata kufikia alipofikia huyu jamaa lakini Hawaoni mwanga wala pa kuanzia hawajui,
Huwa nawashangaa sana Baadhi ya JF members ni wageni lakini wanawaponda sana wenzao kwa sababu tuu kuna ma Pro- JF member(wakongwe) wanafanya hivyo na bila Kujua ni kwa sababu gani ma Pro wanafanya hivyo, msifate mkumbo hawa sana history way back
Sent from my iPad using JamiiForums