Picha-hizi ni baadhi ya kazi za mastaa zilizofanywa na heaven desert

Picha-hizi ni baadhi ya kazi za mastaa zilizofanywa na heaven desert

Nashukuru kwa darasa lako, nilikuwa sifahamu maana nilikuwa napigaga tu na watu kunisifia.Nashukuru Mungu kwa kunipa nami kipaji.

bora yako wewe watu wanakusifia ila hilo li hod linajisifia lenyewe, jina lenyewe kacopy humuhumu alafu nzur zaid jina kacopy kwa mdada
 
tangazo zuriii..ungetupia jukwaa la matangazo madogomadogo, saa hizi ungekuwa hatua nyingine
ila kwa kutaka misifa umeharibu maneno yako ya shombo hapo mwisho!
 
Umependa kaz zangu??niguse 0762052850.

sielewi we ni nani humu JF mpaka mods wanakuruhusu ufanyie biashara za Matangazo kwenye jukwaa la ma celeb

sielewi we una uwezo gani humu JF mpaka wanaacha mada zako za matangazo jukwaa hili la watu maarufu !

Sijui kwanini mods wanafanya hivi !
Wakati mada kama hii ingekaa jukwaa hili

Matangazo madogo
 
we pimbi na wewe unatuvuruga, tunachomwambia ni kuwa hili jukwaa ni la watu mashuhuri(celeb) sasa yeye kujianzishia uzi kwenye jukwaa la maceleb tumweleweje? ushaskia star yeyote akijianzishia uzi humu?

Wivu wa kike huo punga wewe, anao uhuru wa ku post kitu chochote pasipo kuvunja sheria za JF, mods wapo wakiona haifai wanaiondoa na kuweka jukwaa lingine ishitoshe kuna members wako interested kufahamu Kazi zake


Sent from my iPad using JamiiForums
 
kwani kupiga picha na kuziremba nacho ni kipaji....?
 
Wivu wa kike huo punga wewe, anao uhuru wa ku post kitu chochote pasipo kuvunja sheria za JF, mods wapo wakiona haifai wanaiondoa na kuweka jukwaa lingine ishitoshe kuna members wako interested kufahamu Kazi zake


Sent from my iPad using JamiiForums
Punga babayako mngese wewe
 
Taahira wewe huna akili, bahati nzuri sina tabia ya kufumua rinda nakuapia ningekufumua wewe na wivu wako wa kike huo
Mi tabia hiyo ya kufumua watu marinda ninayo ndo maana nimemfumua babayako kama unataka na wewe njoo nikufumue
 
Back
Top Bottom