Gunther1
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 526
- 267
Hawa watu wana tatizo akiliniYani hospitali moja imewafanya waweke zao zote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa watu wana tatizo akiliniYani hospitali moja imewafanya waweke zao zote.
LOL Em tupe ushahidiNa vile waTz hujaa kwa hospitali za Kenya 😂 😂
Hata ocean Road cancer institute sijaona hapo wakati nayo ni kubwa Africa, unaweza kugoogle tu.Weka hapa bro usiwaogope Wakenya, Wai Ni watu was kusema na kutenda so fuata mtindo kwa kuweka picha ya hizo hospitality zote...Kama tutaangua kicheko 😂😂😂
Cheap doesn't mean qualityTanzania gharama ni nafuu sana
It looks good lakini you've posted in in the wrong threadyes it is true, it looks lie toy.View attachment 1248637View attachment 1248638
View attachment 1248635View attachment 1248635View attachment 1248636
Muhimbili ni ndogo hivyo? Ina capacity ya beds ngapi? Kenyatta national hospital imeizidi kwa ukubwa.yes it is true, it looks lie toy.View attachment 1248637View attachment 1248638
View attachment 1248635View attachment 1248635View attachment 1248636
hapo ni mloganzila dogo, siyo muhimbili complex, na kama unataka za MNH sema nikupatie. hiyo bed capacity ni 1500 with more than 10 different deptsMuhimbili ni ndogo hivyo? Ina capacity ya beds ngapi? Kenyatta national hospital imeizidi kwa ukubwa.
Ndogo sana kwa KNHhapo ni mloganzila dogo, siyo muhimbili complex, na kama unataka za MNH sema nikupatie. hiyo bed capacity ni 1500 with more than 10 different depts
Ukiangalia mambo ambayo waafrika tunapenda kujimwambafy nayo unaweza ukaamini ule usemi kwamba waafrika wametokana na kile kizazi cha Nuhu kilicholaaniwa.Have the haters arrived yet?
Jibu ulichoulizwa sio kubadilisha gear angani.Hehee, we've got the best teacher in the world and also the best in Africa.
Our research body-KEMRI was ranked as the best in Africa.
We have the 14th fastest internet speed in Africa.
What has Tanzania achieved so far?
I am very much interested to know availability of medical insurance services in Kenya to the normal wananchi. I believe there are those sponsored by private / Govenment insurance.
Kwa mfano, hapa Tanzania...kuna hawa NHIF, kwa Mtanzania yeyote yule under 18yrs analipia TZS 50,400 ($ 21.8) tu anakuwa na access ya huduma za afya kokote nchini na katika hospital kubwa yeyote nchini.
Je Kenya do you have such service kwa jamii au ni hadi mtu awe kwy formal system? How easy mtu wa kipato cha chini anaweza access huduma za afya?
And then baada ya hapo individuals can have access to health care kwa kusubscribe kwy mifuko hii ya afya na akapata huduma za matibabu vile vile;
18 to 35 yrs ni TZS 190,000
35 to 59 yrs ni TZS 240,000
Above 60yrs ni TZS 360,000
CAN SOMEONE SHARE WHATS IS AVAILABLE in Kenya to the normal mwananchi?
Ki ukweli, aliyeweka hii 50400 kwa wenye umri chini ya 18 Mungu ambariki sana. Imefanya tutibu wanetu kwa gharama za chini kabisa. Hii ndio maana ya Serikali kuwajali wananchi wake.
Ipo ndani ya University of Dodoma bwege wewe..kamma hujui kitu nyamazaWacha ujinga. Benjamin Mkapa hospital ipo ndani ya Dodoma university? Jibu swali ulivyoulizwa, usijiundie swali lako.
Hauna bundles mkuu ama Ni uvivu tu? Weka bila uoga hatutawacheka.Hata ocean Road cancer institute sijaona hapo wakati nayo ni kubwa Africa, unaweza kugoogle tu.
Leta picha ya Muhimbilihapo ni mloganzila dogo, siyo muhimbili complex, na kama unataka za MNH sema nikupatie. hiyo bed capacity ni 1500 with more than 10 different depts
Boss,kwani uliambiwa na mkuu wako kuwa ukijibishana nami utaongezewa mshanhara?Jibu ulichoulizwa sio kubadilisha gear angani.
You are showing equipment that is available in all Kenyan county government referral hospitals (48 in number). Our National referral hospitals and private hospitals will give you a headache thenMloganzila Hospital Tanzania
View attachment 1248930
View attachment 1248923
View attachment 1248925
View attachment 1248927
View attachment 1248929