Picha: Hospitali mpya ya chuo cha Kenyatta - mambo faya

Picha: Hospitali mpya ya chuo cha Kenyatta - mambo faya

Mbona hata huku yapo mengi tu, saivi NHIF imeacha kujenga Majengo, inajenga viwanda vya dawa


tena sie miradi yetu nje ya Dar! Simiyu na Mbeya!
 
Mbona hata huku yapo mengi tu, saivi NHIF imeacha kujenga Majengo, inajenga viwanda vya dawa


Hujaelewa kabisa dhamira yangu ya kumjibu huyo mtu wenu kutumia picha. Ungeelewa hungesema haya
 
Hujaelewa kabisa dhamira yangu ya kumjibu huyo mtu wenu kutumia picha. Ungeelewa hungesema haya


Wamekujibu sawa kabisa wala usione vibaya.
Mie niliuliza subscription packages zinazopatikana kwa individuals (self employed na unemployed) pia kwa watu chini ya miaka 18...wewe ukaniwekea picture ya jengo for what?
Kama ni majengo ndo maana wataalam wenzio wemekuwekea projects zaidi za NHIF TZ.

Sometime tujifunze kuwa na uvumilivu kwani hatupo sawa...ila kujiweka much know wabongo wanakushusha vizuri tu.
 
Unajua binadamu hatupo sawa...na hata uelewa wetu ni tofauti. Kama wewe upo smart kwa nini usinieleweshe tu? Kwani utapungukiwa kitu?

Haya nakuomba unijibu pls kwa mkenya under 18 yrs analipa sh ngapi kuwa na hizo medical insurance? Lengo langu ni kutaka kujua access ya huduma hizi za medical insurance iko inapatikana kwa urahisi na namna gani kwa wananchi wote wa kawaida kenya.

Categories of NHIF Members ambazo nataka kujua gharama kwa Kenya ikoje ni hizi 2 tu;

- Private individuals (with no employers/self-employed) ambazo bei zake nilikupo kwy post ya Mwanzo

- TOTO Afya Kadi for children under 18 years ambayo ndo hii tunawalipia Tsh 50400.
Google is your friend. Hapo Mwanzo ulikuwa unashuku kama Kenya kuna hata Huduma ya NHIF! This is outrageous. Why should I engage a pre-conditioned mind like yours?
 
Wamekujibu sawa kabisa wala usione vibaya.
Mie niliuliza subscription packages zinazopatikana kwa individuals (self employed na unemployed) pia kwa watu chini ya miaka 18...wewe ukaniwekea picture ya jengo for what?
Kama ni majengo ndo maana wataalam wenzio wemekuwekea projects zaidi za NHIF TZ.

Sometime tujifunze kuwa na uvumilivu kwani hatupo sawa...ila kujiweka much know wabongo wanakushusha vizuri tu.
Bado hujanielewa na pengine hutanielewa kabisa. Can you remember where you started from? Refer to your earlier post which I replied to using that picture then maybe, just maybe you'll understand why I replied the way I did
 
Google is your friend. Hapo Mwanzo ulikuwa unashuku kama Kenya kuna hata Huduma ya NHIF! This is outrageous. Why should I engage a pre-conditioned mind like yours?

Ohhhh noo look u!!! Mie sikuwa mbona na mawazo yako hayo? Why should I doubt kama kenya kuna huduma za nhif? Public insurer sikujua kama inaitwa nhif pia ila nilijua ipo kwa sbb najua private kama jubilee na wengine.

Niliingia kwenye details zaidi nikiomba kujibiwa gharama ya packages (medical insurance) kwa informal sector. Kwa sababu najua wafanyakazi ni rahisi kuwa nayo ndo maana nikabase kwy watu waliojiajiri, wasiojiajiri na walio chini ya 18.

So now I know hukuelewa nachouliza ukajibu kwa picha. Sina na neno na wewe uwe na amani mtumishi.
 
L
Ohhhh noo look u!!! Mie sikuwa mbona na mawazo yako hayo? Why should I doubt kama kenya kuna huduma za nhif? Public insurer sikujua kama inaitwa nhif pia ila nilijua ipo kwa sbb najua private kama jubilee na wengine.

Niliingia kwenye details zaidi nikiomba kujibiwa gharama ya packages (medical insurance) kwa informal sector. Kwa sababu najua wafanyakazi ni rahisi kuwa nayo ndo maana nikabase kwy watu waliojiajiri, wasiojiajiri na walio chini ya 18.

So now I know hukuelewa nachouliza ukajibu kwa picha. Sina na neno na wewe uwe na amani mtumishi.
I hope majibu ulushapewa hapo juu. Ukitaka maelezo zaidi, uko huru kuuliza
 
Chekeleeni china wanataifisha kenya na mlivyo bongolala mnakenua tu meno
 
Google Is your friend! But let me give you a sample

Machakos County

View attachment 1248959
View attachment 1248960
View attachment 1248961
View attachment 1248963
View attachment 1248964
View attachment 1248965
View attachment 1248966

Kisii County
View attachment 1248968

View attachment 1248970

View attachment 1248972
View attachment 1248973

Mombasa County

View attachment 1248977
View attachment 1248978

View attachment 1248979

View attachment 1248982
View attachment 1248984

These are not National Hospitals, these are hospitals run and managed by County Governments. Kakamega County Government is also building a new ksh 6 Billion county referral hospital. Find below the render and building progress for the new Kakamega County Hospital.
View attachment 1248988
Mbona jengo bado mchoro? Leta picha halisi!
 
Ni Kama wakenya wote wanaishi Nairobi, mbona county zingine Serikali imepeleka nini cha maana, zaidi ya njaa. China ikija kuchukua chao wataigeuza hii nyumba kua apartment
Hata mimi nashangaa huko Lokichar na North eastern mbona hamna facility kama hii?

Garissa county referral hospital
Lp3rsrr2Athu.jpg


compare to this





Sekou Toure na Nyamagana hospitals
 
Geita to host zonal referral 'tourism' hospital
ippmedia.com/en/news/geita-host-zonal-referral-tourism-hospital

June 18, 2019

Geita to host zonal referral 'tourism' hospital
GEITA region has been chosen to host a state-of-the-art zonal referral hospital to serve Lake Zone regions and neighbouring countries.
UMMY%20MWALIMU%204.jpg

Minister for Health, Community Development, Gender, Elderly and Children Ummy Mwalimu.
Minister for Health, Community Development, Gender, Elderly and Children Ummy Mwalimu said here on Sunday that the decision has already been made and plans are underway to kick off the project.
Speaking during the commemoration of the day of African child which she graced as guest of honour, Mwalimu said the hospital will be a state of the art facility that will serve not only the populous Lake Zone alone but also neighbouring countries.
"The referral hospital will also serve Great Lakes countries such as the Democratic Republic of Congo, Rwanda and Burundi, " she said.
The project, the minister said, is more than a hospital as it has been designed for medical tourism to attract patients from other countries.
That means it will be equipped with state-of-the-art equipment and staffed by highly-trained personnel.
"Geita region has been chosen to serve as the centre of Tanzania's medical tourism, " the minister said.
Earlier, Busanda MP Lolensia Bukwimba lamented over the state of the Geita regional hospital--a former district hospital which she said is overstretched.
The commemoration event took place at Katoro township and was co-organized by civil society organisations including Plan International.
The Day of the African Child has been celebrated on June 16 every year since 1991,when it was first initiated by the the Organisation of African Unity (OAU). It honours those who participated in the South Africa's Soweto Uprising in 1976 on that day. It also raises awareness of the continuing need for improvement of the education provided to African children.
 


Kwa Afrika kwenye sekta ya moyo ni Afrika kusini tuu ndiyo wanaotushinda.

halafu hii taasisi tayari inapanuliwa!


 
Back
Top Bottom