johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Zikiwepo mbili kama kanda ya Kaskazini, kuna ubaya?Ile Bugando sio hospital ya Rufaa?
Kuna utaratibu bwashee.Kama ni hivyo wangesema watu milioni 60 wakijumuisha TZ nzima maana kuna siku pia mtu wa Tandahimba akaenda CHATTLE na akapata huduma.
Acheni upumbavu nyie watu! Yaani nitoke Simiyu, Mara, Shinyanga, Tabora eti niende Chato wakati hapa katikati kuna hospital ya Rufaa ya Bugando? Tuheshimiane Mwamba, nyoko kabisa!Ya kanda ya ziwa!
Geita, Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Kagera na Mara
Lakini hata Tabora na Kigoma wanakaribishwa!
Hata Mwananyamala ni hospitali ya Rufaa lakini watu wanatoka Mwenge wanaenda Muhimbili.Acheni upumbavu nyie watu! Yaani nitoe Simiyu, Mara, Shinyanga, Tabora eti niende Chato wakati hapa katikati kuna hospital ya Rufaa ya Bugando? Tuheshimane Mwamba nyoko kabisa!
Mmmmhhhh hata KIMEI wakati anazindua CRDB chattle alisema MAGUFULI ndio alifanya UTAFITI na akasema mambo haya haya!! Hizo ni justification ,hivi wagonjwa mil 18 kwa mwaka unawajua kweli? Wagonjwa 700 kwa siku x 365 unapata mil 18? CCM mnapenda NAMBA lakini hamjui HESABU.
Huyo waziri hapo bado hajaanza kazi ni kama anapiga jaramba tu. Mwaka wa tano ndiyo kidogo tutaanza kumuelewaHivi huyo Waziri wa afya wenzangu mnamwelewa?
Hujaumwa wewe. Bado uko na afya tele. Ukiumwa utataka bila shuruti.Niache kwenda Bugando nifunge safari kwenda CHATO?????
Upo sawa kamanda, umemiksi mbege na K vant? Mbona unatema madini?Hata mwananyamala ni hospitali ya Rufaa lakini watu wanatoka Mwenge wanaenda Muhimbili.
Picha za Hospitali ya Rufaa ya Kanda -Chato mkoani Geita ambayo imewekwa jiwe la msingi na Rais wa Jamhuri ya Msumbiji na Mwenyekiti wa SADC Mhe. Filipe Jacinto Nyusi mara baada ya kuwasili Chato mkoani Geita leo tarehe 11 Januari 2021.
View attachment 1674987
View attachment 1674824
View attachment 1674825View attachment 1674826
View attachment 1674834
Kwann asitoe amri taasisi zote zijenge makao makuu kule hii inawezekana
Nikikumbuka ulivyokuwa unampenda na kumkubali kisha nikiona unavyomdisi sahivi nabaki nacheka tu.Huko Mobutu alipokea viongozi pia .Ndege zilitua moja kwa moja Gbadolite air port .Huko alijenga viwanda ,hôtel n.k.Yaani kama Meko tu.Magufuli ni reflection ya Mobutu kabisa.
Wacha weeee !!!Picha za Hospitali ya Rufaa ya Kanda -Chato mkoani Geita ambayo imewekwa jiwe la msingi na Rais wa Jamhuri ya Msumbiji na Mwenyekiti wa SADC Mhe. Filipe Jacinto Nyusi mara baada ya kuwasili Chato mkoani Geita leo tarehe 11 Januari 2021.
View attachment 1674987
View attachment 1674824
View attachment 1674825View attachment 1674826
View attachment 1674834
Tutanda tu.Niache kwenda Bugando nifunge safari kwenda CHATO?????
Kama unalijua hilo then hoja yako inakosa mantiki automatically.H
Hospital zote za dini hivyo hivyo
Msata inaungana na Dar soon,Enzi ya Kikwete IFM walianza kujenga campus nyingine huko Msata kwani walihitaji sehemu kubwa zaidi; sasa toka mkwere kaondoka sijui ile campus inaendelea kujengwa?
Inajengwa Mtwara. Ila huko ujenzi hauharakishwi
Vipi kuhusu Bugando? Itafungwa?Kwa mujibu wa wizara ya afya ni kwamba hospitali ya Rufaa ya Chato itahudumia takribani watu milioni 18....