Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Hawakuwa maraisi wa miundombinu tu, bali walikuwa maraisi wa sekta zote.Kwa nini marais waliopita hawakufanya mambo makubwa kama anayofanya Jpm?
Maendeleo hayo.....
Hivi unaipanuaje nchi bila ya kufanya hayo?!
Kwa hiyo matibabu ya kibingwa kwa sasa yatapatikana chato? safi sana bageshi...
Yaani Dr bingwa akakae uswekeni hata hilo jiji la Dodoma linasuasuaKwa hiyo matibabu ya kibingwa kwa sasa yatapatikana chato? safi sana bageshi...
Hakika mkuu...Mkuu kila mji duniani ulikuwa mdogo na kutanuka
Naunga mkono
Baba wa Taifa alishindwa kuwajengea HOSPITALI YA RUFAA...wakapita waliopita....amekuja JPM kuwajengea pale MKOANI MARA hulioni hilo?!!!Kwa hiyo sie Wa Tarime tukiumwa twende Chato!?
It's too much
Sekta gani hizo Boss wangu? Kama ni elimu madarasa yamejengwa na walimu wanaajiriwa, afya ndiyo kama hivyo hospitali zimejengwa na madaktari wanaajiriwa, barabara, kilimo, mifugo,reli na hata ile iliyokufa ya dar tanga Arusha imefufuliwa,atcl ndege bwerere. Niendelee?Hawakuwa maraisi wa miundombinu tu, bali walikuwa maraisi wa sekta zote.
Mkuu chato na yenyewe inajengwa iwe jiji kama Wuhan..kwa hiyo madaktari bingwa wasiwe na wasiwasi kuhusu kuendelea kula bata za jiji..Yaani Dr bingwa akakae uswekeni hata hilo jiji la Dodoma linasuasua
Hakika mkuu...
Itafika siku MAGUFULI atakumbukwa kwa wema mno...
Dar dude Kama hili lingesimamishwa bk mjini lingesaidia Sana, kutatatu kero za referal toka wilaya za pembezoni,Picha za Hospitali ya Rufaa ya Kanda -Chato mkoani Geita ambayo imewekwa jiwe la msingi na Rais wa Jamhuri ya Msumbiji na Mwenyekiti wa SADC Mhe. Filipe Jacinto Nyusi mara baada ya kuwasili Chato mkoani Geita leo tarehe 11 Januari 2021.
View attachment 1674824
View attachment 1674825View attachment 1674826
View attachment 1674834
Swadakta.Ninaamini hivyo mkuu
Hatuwezi kuwa na miji michache ambapo watu wanajazana na kuzaliwa kila siku...
Mkuu sijakusoma muda humu jamvini. "Heri ya Mwaka Mpya"
Sasa chinga tunangangania nini miji mingine ambayo fursa ni za kuchungulia, tujimovuzishe kunako fursa, hata kwa ndege na karibuni treni tunafika na mizigo yetu.Chato kumenoga wakuu
Binadamu hatufanani, ni kama wew usivyo mwanamke ukawa mwanaume.Kwa nini marais waliopita hawakufanya mambo makubwa kama anayofanya Jpm?
Kama ni mwona fursa,mbona unawahi fasta.Nahamia Chato !!!
Imepewa hadhi ya Hospital ya Kanda, sasa Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Musoma zipo nyanda ya juu kusini????
Chatu senta.Uwepo wa hospitali ya kanda utachagiza ujenzi wa barababara nzuri, airport ndo kama hiyo... watu wa Bukoba na Kigoma watanufaika.
Kwa maoni yako ungependekeza ijengwe wapi?