Picha: Hospitali ya Rufaa ya Chato iliyowekwa jiwe la msingi na Rais Filipe Nyusi. Kuhudumia takriban watu milioni 18 mikoa ya Kanda ya Ziwa

Inakuja hiyo lazima tulete wanafunzi chato pachangamshwe
Hakika.....

Mbona Dodoma imechangamshwa?!!

Mperampera huu wa kuzichangamsha wilaya na mikoa ungali unaendelea.......

Awamu ya 5 inathubutu kwa kubadilisha STATUS QUO iliyotuchelewesha......
 
Hakuna mfarakano wowote.....

Tatizo ni mazoea YALIYOTUCHELEWESHA kufika.....

Status Quo huweza kufanywa ni uzalendo kumbe UPOYOYO TU.....

Magufuli atakumbukwa sana hasa baada ya kuondoka madarakani na kuja waitwao "wazalendo" watakaosimamia yaitwayo "maendeleo ya watu tu" pasina VITU.......

Mwenyezi Mungu atuweke hai na afya tele aaaamin!!
Asitokee mwingine akaiga haya. Huo ndio utakuwa mwanzo wa mfarakano wa nchi yetu. Hiyo itakuwa Tanzania "Mpya", kama walivyoipachika jina sasa.
 
Hakuna mfarakano wowote.....

Tatizo ni mazoea YALIYOTUCHELEWESHA kufika.....

Status Quo huweza kufanywa ni uzalendo kumbe UPOYOYO TU.....

Magufuli atakumbukwa sana hasa baada ya kuondoka madarakani na kuja waitwao "wazalendo" watakaosimamia yaitwayo "maendeleo ya watu tu" pasina VITU.......

Mwenyezi Mungu atuweke hai na afya tele aaaamin!!
Asitokee mwingine akaiga haya. Huo ndio utakuwa mwanzo wa mfarakano wa nchi yetu. Hiyo itakuwa Tanzania "Mpya", kama walivyoipachika jina sasa.
 
Kwa hiyo ulikuwa unajitutumua kujiandikia aimlessly, manake umeona na umekiri kwamba nimesema kosa ni letu wote kwa kushindwa kufumua mifumo iliyoasisiwa na Mwalimu
Wewe uliupoandika huko mwanzo kumlaumu Nyerere na mwisho kukiri kuwa ni makosa yetu ulikuwa na nini kichwani?
Nimejibu sehemu zote mbili kama ulivyoziwasilisha wewe mwenyewe.
 
Ni Nani asiyejua kuwa BUGANDO HOSPITALI ilizidiwa kwa kukosekana HOSPITALI KUBWA ZA RUFAA kule Mara na Shinyanga?!!!

1.JPM amewajengea wanaMARA ambao waliteseka toka UHURU....
2.JPM amewaongezea wanakanda hapo CHATO GEITA......
3.Kule Mtwara amejenga HOSPITALI KUBWA YA RUFAA itakayowahudumia wanaKusini....

👆👆👆👆👆
HAKIKA NI HATUA KUBWA MNO...TENA MNO!!!
 
Wewe uliupoandika huko mwanzo kumlaumu Nyerere na mwisho kukiri kuwa ni makosa yetu ulikuwa na nini kichwani?
Nimejibu sehemu zote mbili kama ulivyoziwasilisha wewe mwenyewe.
Chanzo cha tatizo ni Nyerere.

Muendelezo wa tatizo ni sisi sote kushindwa kufumua misingi potofu ya imperial presidency and rubber stamp legislature.
 
Mbona unawasemea na wengine. Jisemee mwenyewe juu ya hayo yote unayoyataka wewe.

BTW; nimesoma michango yako mingi hapa. Kawaida yangu ni kutokuwa na muda wa majibishano na wenye mawazo kama hayo. Maana yake, usitegemee kuendeleza mjadala nami.
 
Chato ni kwa kwenda kuwekeza wandugu. Hospitali kubwa kama hiyo haiwezi kosa chuo kikuu cha Afya. Kiutani utani Chato inakuwa jiji kubwa.
 
Mbona unawasemea na wengine. Jisemee mwenyewe juu ya hayo yote unayoyataka wewe.

BTW; nimesoma michango yako mingi hapa. Kawaida yangu ni kutokuwa na muda wa majibishano na wenye mawazo kama hayo. Maana yake, usitegemee kuendeleza mjadala nami.
Kumbe unapenda majadiliano na wenye mawazo kama yako.....basi vizuri mkuu wangu!!
 
Chato ni kwa kwenda kuwekeza wandugu. Hospitali kubwa kama hiyo haiwezi kosa chuo kikuu cha Afya. Kiutani utani Chato inakuwa jiji kubwa.
Na iwe tu.....

Lowassa alisifiwa na kujisifu kwa MAAMUZI MAGUMU....
Watanzania waliyataka hayo maamuzi MAGUMU....

JPM anakikata KIU CHAO KIKALI.....
 
Chanzo cha tatizo ni Nyerere.

Muendelezo wa tatizo ni sisi sote kushindwa kufumua misingi potofu ya imperial presidency and rubber stamp legislature.
Nyerere alipoanza tatizo aliweka amri "sisi sote" tushindwe "kufumua misingi potofu ya 'imperial presidency and rubber stamp legioslature'"?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…