- Thread starter
- #21
Wewe ni miongoni mwa wale nusu mtu nusu nyani. Unachekeshwa na nn Sasa kwa upumbavu huo kwenye picha. Utakuwa ni teja wewe.Kalipe madeni kwanza uache stress
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni miongoni mwa wale nusu mtu nusu nyani. Unachekeshwa na nn Sasa kwa upumbavu huo kwenye picha. Utakuwa ni teja wewe.Kalipe madeni kwanza uache stress
umeona uchi hapo unajua maana ya kuvua nguo weweIndustry ya kuvua nguo jukwaani?
Hujajibu swali. Huo ndiyo uchekeshaji???umeona uchi hapo unajua maana ya kuvua nguo wewe
Sawa. Lkn pia huo siyo uchekeshaji.Ila kuvaa malapulapu ni kukosa ubunifu hakuna aliyedhalilishwa hapo.
Sema hivo hivo mwenzio anamake pesa cha msingi mkono uende kinywani.Hebu kila mtu aangalie picha hii hapa chini kisha atoe maoni yake bila hila wala inda. Huu ni uchekeshaji ama udhalilishaji??
View attachment 1809375
Sawa. Lkn pia huo siyo uchekeshaji.
Tulitee kinachokuchekesha weweWewe ni miongoni mwa wale nusu mtu nusu nyani. Unachekeshwa na nn Sasa kwa upumbavu huo kwenye picha. Utakuwa ni teja wewe.
...Tuanzie hapo. Anamdhalilisha nani?Nani anamdhalilisha nani..
Yuko jukwaani kuchekesha.Hebu kila mtu aangalie picha hii hapa chini kisha atoe maoni yake bila hila wala inda. Huu ni uchekeshaji ama udhalilishaji??
View attachment 1809375
Kila comedian ana aina yake ya uchekeshaji, usitake kila mtu awe kama fulani. Huo ni uzwazwa.Baadhi wanadhani uchekeshaji unaendana na kuvaa nguo kubwa, kuongea kwa lafudhi ya jamii Fulani na mengineyo ila sikatai inaweza kuwa sawa ila unaweza ukavaa vizuri tu ukaenda kwa stage ukaonesha kipaji chako na watu wakakiona.
Iva na wewe ukitukanwa utalalamika?Anamdhalikisha nani sasa hapo?
Bavicha bhnaa