Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kutokana na Ugumu wa Maisha wa nchini Tanzania kwa sasa, inawezekana kabisa nusu ya wanaJF na Wanyonge wengine wakashindwa kwenda LIVE na kongamano la Bawacha, hii ni kwa vile LIVE coverage inahitaji Bando .
Kwa kuzingatia hilo tumeona ni vema tukawawekea wenzetu waliopungukiwa bando hizi Picha za Tukio ili angalau twende nao sawa.
Picha zenyewe ni hizi hapa.
Karibuni sana.
Kwa kuzingatia hilo tumeona ni vema tukawawekea wenzetu waliopungukiwa bando hizi Picha za Tukio ili angalau twende nao sawa.
Picha zenyewe ni hizi hapa.
Karibuni sana.