Picha: Huu ni Ushahidi kwamba BAWACHA ndio Taasisi bora kabisa ya Wanawake Barani Afrika

Picha: Huu ni Ushahidi kwamba BAWACHA ndio Taasisi bora kabisa ya Wanawake Barani Afrika

Mtoa post Rekebisha kauli yako

Sio kwamba Tanzania wote ni wanyonge ila familia yako na wengine pili hatuna hali ngumu ya maisha ila CHADEMA pekee ndiyo wenye njaa ya kuuza chama.

Full stop
Wacha weeee !!
 
kwenye siasa hakuna mambo kama hayo , kwanza Samia hatogombea 2025
Siasa haina sura ya aina moja, ndiyo maana pamoja na aina ya siasa zetu bado rais amealijwa kuwa mgeni rasmi wa shughuli ya Chama ya CHADEMA.
Pia, kwa kwa kuwa msingi mkubwa wa maridhiano unajengwa juu ya maslahi ya taifa na uhuru wa kisiasa usiohitaji huruma ya auna ya raus atakayekuwepo madarakani, what if ili kufika huko CHADEMA watalazimika wamsaidie aliyepo ili washirikiane kufikisha nchi na siasa zetu huko kuliko kutoa fursa kwa wahafidhina kujiimarisha na kuua mipango yote?
 
Siasa haina sura ya aina moja, ndiyo maana pamoja na aina ya siasa zetu bado rais amealijwa kuwa mgeni rasmi wa shughuli ya Chama ya CHADEMA.
Pia, kwa kwa kuwa msingi mkubwa wa maridhiano unajengwa juu ya maslahi ya taifa na uhuru wa kisiasa usiohitaji huruma ya auna ya raus atakayekuwepo madarakani, what if ili kufika huko CHADEMA watalazimika wamsaidie aliyepo ili washirikiane kufikisha nchi na siasa zetu huko kuliko kutoa fursa kwa wahafidhina kujiimarisha na kuua mipango yote?
Ahamie chadema
 
Rais Samia azidi kuweka records:

Mwanamke wa kwanza kuwa Rais wa JMT.

Rais wa kwanza kuwa mgeni rasmi kwenye kongamano la chama cha upinzani.

Rais wa kwanza kukubalika na watanzania wa makundi mengi ikiwemo vyama vya upinzani.

Rais wa pili (wa kwanza ni Ali Hassan Mwinyi) baada ya kuasisiwa kwa mfumo wa vyama vingi vya upinzani kutochafua mikono yake kwa damu za wanachama au wapenzi wa vyama vya upinzani: Ikumbukwe wakati wa utawala wa Mkapa, wanachama wa CUF zaidi ya 20 waliuawa na jeshi la Polisi. Wakati wa Kikwete, kuna wanachama wa CHADEMA waliuawa kwa bomu kwenye mkutano Arusha, mwenyekiti wa CHADEMA Arusha aliuawa kwa chainsew machine kwa kukatwa kichwa, Mwenyekiti wa CHADEMA wa mkoa wa Geita aliuawa kwa kukatwa mapanga na kundi linaloaminika kufadhiliwa na Musukuma; wakati wa Magufuli ilikuwa kilele cha uovu wote dhidi ya wapinzani.

Ndioooooooooo
 
Back
Top Bottom