Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Je kama mimi ndiye Mlipaji itakuwaje ?Kama ni uchawa unapaswa ulipwe kweli kweli hapo CHADEMA unajua kusifia ile mbaya kama wakina Babalevo na Mwijaku
Huna hojaAsali tamu
Ilitabiriwa chadema mwisho ni 2025 mwenyekiti kawapelekea buyu la asali bawacha kwushinei!Kutokana na Ugumu wa Maisha wa nchini Tanzania kwa sasa , inawezekana kabisa nusu ya wanaJF na Wanyonge wengine wakashindwa kwenda LIVE na kongamano la Bawacha , hii ni kwa vile LIVE coverage inahitaji Bando .
Kwa kuzingatia hilo tumeona ni vema tukawawekea wenzetu waliopungukiwa bando hizi Picha za Tukio ili angalau twende nao sawa .
Picha zenyewe ni hizi hapa .
View attachment 2541699View attachment 2541700View attachment 2541701View attachment 2541702View attachment 2541703View attachment 2541705View attachment 2541706
Karibuni sana .
Sasa unalia nini ?Ilitabiriwa chadema mwisho ni 2025 mwenyekiti kawapelekea buyu la asali bawacha kwushinei!
Zamani tulikuwa tunaamini mtu mwenye kipara ana akili sana, kumbe kipara ni kipara tuu hakina tofauti na tako kwa binadamuIlitabiriwa chadema mwisho ni 2025 mwenyekiti kawapelekea buyu la asali bawacha kwushinei!
Kwi Kwi KwiZamani tulikuwa tunaamini mtu mwenye kipara ana akili sana, kumbe kipara ni kipara tuu hakina tofauti na tako kwa binadamu
Mimi Chadema wakisema wasisimamishe mgombea ili wamuache amalizie kioindi chake nitawaunga mkono. Kikubwa nguvu wazipeleke bungeni ili wakalichukue bunge. Huyu mama wamuache amalizie kazi ngumu aliyoianza.Rais Samia azidi kuweka records:
Mwanamke wa kwanza kuwa Rais wa JMT.
Rais wa kwanza kuwa mgeni rasmi kwenye kongamano la chama cha upinzani...
Wanawake wa chadema kwa pamba TU.Kutokana na Ugumu wa Maisha wa nchini Tanzania kwa sasa , inawezekana kabisa nusu ya wanaJF na Wanyonge wengine wakashindwa kwenda LIVE na kongamano la Bawacha , hii ni kwa vile LIVE coverage inahitaji Bando .
Kwa kuzingatia hilo tumeona ni vema tukawawekea wenzetu waliopungukiwa bando hizi Picha za Tukio ili angalau twende nao sawa .
Picha zenyewe ni hizi hapa .
View attachment 2541699View attachment 2541700View attachment 2541701View attachment 2541702View attachment 2541703View attachment 2541705View attachment 2541706
Karibuni sana .
na wengine wanaofis ila majiz ya kura na leo mwenyekit wao kapewa live na mwamba mbowe.Taasisi isiyo na ofisi
kwenye siasa hakuna mambo kama hayo , kwanza Samia hatogombea 2025Mimi Chadema wakisema wasisimamishe mgombea ili wamuache amalizie kioindi chake nitawaunga mkono. Kikubwa nguvu wazipeleke bungeni ili wakalichukue bunge. Huyu mama wamuache amalizie kazi ngumu aliyoianza.
Kikwete sijui alibugi wapi, ilikua ni fursa yake hii, akaleta uhuni wa kizoba kwa kuwahofia wahafidhina wa CCM akina Sitta ambapo Mungu naye asivyo mnafiki akawatandika na sasa hawapo tena kushuhudia hicho walicho kishinikiza