Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
Wacha weeee !!Mtoa post Rekebisha kauli yako
Sio kwamba Tanzania wote ni wanyonge ila familia yako na wengine pili hatuna hali ngumu ya maisha ila CHADEMA pekee ndiyo wenye njaa ya kuuza chama.
Full stop
na wengine wanaofis ila majiz ya kura na leo mwenyekit wao kapewa live na mwamba mbowe.
na wengine wanaofis ila majiz ya kura na leo mwenyekit wao kapewa live na mwamba mbowe.
CHAWA WA MAMA,MNAFIKI.KINACHOKUUMIZA CHADEMA IKIFA 2025 NI KIPI?Ilitabiriwa chadema mwisho ni 2025 mwenyekiti kawapelekea buyu la asali bawacha kwushinei!
Wapigania uhuru hawakuwahi kuwa na ofisiTaasisi isiyo na ofisi
Siasa haina sura ya aina moja, ndiyo maana pamoja na aina ya siasa zetu bado rais amealijwa kuwa mgeni rasmi wa shughuli ya Chama ya CHADEMA.kwenye siasa hakuna mambo kama hayo , kwanza Samia hatogombea 2025
Ahamie chademaSiasa haina sura ya aina moja, ndiyo maana pamoja na aina ya siasa zetu bado rais amealijwa kuwa mgeni rasmi wa shughuli ya Chama ya CHADEMA.
Pia, kwa kwa kuwa msingi mkubwa wa maridhiano unajengwa juu ya maslahi ya taifa na uhuru wa kisiasa usiohitaji huruma ya auna ya raus atakayekuwepo madarakani, what if ili kufika huko CHADEMA watalazimika wamsaidie aliyepo ili washirikiane kufikisha nchi na siasa zetu huko kuliko kutoa fursa kwa wahafidhina kujiimarisha na kuua mipango yote?
Uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo!Zamani tulikuwa tunaamini mtu mwenye kipara ana akili sana, kumbe kipara ni kipara tuu hakina tofauti na tako kwa binadamu
Nilie nini nanyi mmeuvaa mkenge!Sasa unalia nini ?
Rais Samia azidi kuweka records:
Mwanamke wa kwanza kuwa Rais wa JMT.
Rais wa kwanza kuwa mgeni rasmi kwenye kongamano la chama cha upinzani.
Rais wa kwanza kukubalika na watanzania wa makundi mengi ikiwemo vyama vya upinzani.
Rais wa pili (wa kwanza ni Ali Hassan Mwinyi) baada ya kuasisiwa kwa mfumo wa vyama vingi vya upinzani kutochafua mikono yake kwa damu za wanachama au wapenzi wa vyama vya upinzani: Ikumbukwe wakati wa utawala wa Mkapa, wanachama wa CUF zaidi ya 20 waliuawa na jeshi la Polisi. Wakati wa Kikwete, kuna wanachama wa CHADEMA waliuawa kwa bomu kwenye mkutano Arusha, mwenyekiti wa CHADEMA Arusha aliuawa kwa chainsew machine kwa kukatwa kichwa, Mwenyekiti wa CHADEMA wa mkoa wa Geita aliuawa kwa kukatwa mapanga na kundi linaloaminika kufadhiliwa na Musukuma; wakati wa Magufuli ilikuwa kilele cha uovu wote dhidi ya wapinzani.