.....na hili nalo muende mkalitazame!!"
Kumbe Juma nature kitengo toka kitambo
π€£π€£Yupo na mambo yake...
Juma Necha wanakuja kivingine kupitia TNC yaani Temba Necha na Chege.wa tatu ni huyu hapa Msanii
Hivi huyo mama anafanya Sanaa ipiIla dada yetu Raisi Samia ni mtu muungwana asiye na makuu kabisa, ukweli huu ni lazima tuuseme. Tatizo linaanza pale tu ambapo amezungukwa na kugeuzwa mateka wa genge la majambazi wala nchi, ambao kwa namna moja au nyingine ndiyo wamemuhakikishia usalama wake, dhidi ya lile genge jingine dhalimu.....
Kuna siku huwa namkasirikia mno kwa jinsi mambo yanavyoenda nchini, lakini kila nikifiri kwa uhalisia huwa naishia tu kumuonea huruma. Namuombea Mungu amsaidie na kumtunza.....
Nsharopoka hapo juu.πView attachment 2513569
Jinsi jamaa wa kipenyo wanaangalia atakayeropoka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Naona population control inakusukuma kutuletea hizi mada sio?π