Picha: Huyu msanii huwa yupo?

wa tatu ni huyu hapa Msanii
Juma Necha wanakuja kivingine kupitia TNC yaani Temba Necha na Chege.

Mtawaona kwenye majukwaa makubwa ya CCM maana washanunuliwa na wameshakaa kambini zaidi ya mwaka kwa ajili hiyo....

Bwana Kipara ni righthand wa Kiherehere basi kila jambo akipanga linapigwa tiki
 
Hivi huyo mama anafanya Sanaa ipi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…