Picha: Huyu msanii huwa yupo?

Picha: Huyu msanii huwa yupo?

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
10,904
Reaction score
26,184
Nimeitazama nikakumbuka enzi hizo alivyokuwa anapendwa sana.

USSR

FB_IMG_1676070781082.jpg
 
Ila dada yetu Raisi Samia ni mtu muungwana asiye na makuu kabisa, ukweli huu ni lazima tuuseme. Tatizo linaanza pale tu ambapo amezungukwa na kugeuzwa mateka wa genge la majambazi wala nchi, ambao kwa namna moja au nyingine ndiyo wamemuhakikishia usalama wake, dhidi ya lile genge jingine dhalimu.....

Kuna siku huwa namkasirikia mno kwa jinsi mambo yanavyoenda nchini, lakini kila nikifiri kwa uhalisia huwa naishia tu kumuonea huruma. Namuombea Mungu amsaidie na kumtunza.....
 
Back
Top Bottom