Picha: Huyu nani? Kuna elfu kumi hapa..

Hivi na nchi nyingine watu wenye kazi kama ya jamaa wanajadiliwa hivihivi, maana naona kwa unyeti wa kazi ya jamaa sidhani kama ni Sahihi kujadiliwa muda wote,zaidi kuheshimiwa,
Wanahojiwa hadi ja wabunge sembuse kujadiliwa? Ni huku tu ndo mnawaweka kwenye position ya umungu mtu. Hao ni wafanyakazi wa setikali na wanapaswa wawepo kwa maslahi ya umma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…