kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 3,607
- 9,430
Athuman IDD CHUJI.
Na Mimi nlijua kipofu😂😂Mbona kama haoni...
Weka namba yako inayopokea hela akutumieSebastian Mwavanga
Mlinzi mkuu wa raisi Magufuli (2015-2021)
Afisa wa usalama aliyepata umaarufu sana na kupendwa zaidi pengine kuliko wengine wote tangu uhuru
Haya nitumie elfu kumi yangu
Mtekaji huyo...huyo jamaa ni miongoni mwa wasiojulikana, kwa sasa yupo huko kwao geita chato