talentboy
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 2,104
- 2,073
Duuu,
Nlipokuwa mdogo nlijua ni mjeruman aliyejifunza kiswahil
kumbe ww ulipokuwa mdogo mkuu,mie mpka hapa juzi kati tu nlikuwa nafikiria ivo ivo hasa ukiisikiliza ile lafudhi yake na namna anavotamka maneno ya kiswahili kama mtu anaepata shida saaana kuyatamka vema kwa kutokuwa mweledi wa lugha iyo.