Picha: Huyu ndo Trainer anayedaiwa ku cheat na zari

Picha: Huyu ndo Trainer anayedaiwa ku cheat na zari

Trainer kavaa skin jeans

Wakaka wa hivi unaweza kukuta naye ana bwana ake
Kabisa!! Hawa mara nyingi tunawaita msenge mbavu!! Kwa wenzetu wasenge wa hivu ndio wengi!!

Mwenzio siku hzi hawa vijana six packs na kuvaa vinguo vya ajabu sina imani nao..

Wakati nafanya utafiti wangu mdogo juu ya mashoga, mashoga wengi walikuwa na six packs.
 
Jamani Domo , hivi huoni hata aibu kuwataja wanaume walio cheat na ex baby wako? Maana tuseme tu ukweli they are Ten times better than you , sio P- square wala huyu trainer , hakuna hata mmoja unayemfikia , Ila trainer kadamshi, mwili kama wote[emoji8]. Ngoja nimpigie shoga angu zari anipe namba za trainer nataka kufanya mazoezi na Mimi 🤣

Sasa tukirudi kwa domo watu anaochaet nao ata Mungu hapendi🤣🤣, mwenzio anacheat na watu , wewe una cheat na vidudu mtu , Sasa kweli zari ni wa kumgonganisha na Kim nana? , hamisa mobeto ? , official lyn? ... yan bora tu alivyokukomoa ku cheat na wanaume ambao huwafikii hata robo , na usikute alikua hata hakupendi. Shoga alikua anataka tu nyumba na kashapata🤣🤣🤣.

Domo Ana pesa Ila vijanamke anavyotoka navyo vya ajabu ajabu , si bora hata tungekusikia na wewe unatoka na kina Yemi alade, mastaa wakubwa wa nje, unakuja ku date na vichawi unaishia kurogwa tu mxieew , yani domo Ana pesa Ila class Hana kwa kweli 🤣🤣

Jamani wanazengo ebu nisaidien kupata handle ya huyu trainer Instagram , ntahamia pretoria just for him 🤣🤣🤣, zari umejua kunikomeshea domo , hawa Ndo wanaume Sasa , Dudu layoyo kama lote🤣🤣🤣


Trainer jaman utavunja ndoa yangu na @matola🤣🤣🤣🤣


Halafu shoga angu zari na wewe unapenda wanaume heavy built , Masculine body , yan ukiangalia kuanzia p -square, trainer na huyu king bae miili yao imeshiba haswa, sio domo mwili kama Ana kifafa 🤣, zari alikua anataka tu maslahi kwa domo , it seems kabisa hakua type yake , sema pesa tu ashukuru View attachment 1085560View attachment 1085561
kigimbi cha trainer
 
sio zari sio mondi,wote hawajatulia hamna cha huyu anatoka na vidudu huyu anatoka na watu, Kwa ujumla wote tunawaita Marrrrraaayaa....wabadilike na waache tabia za ivyo maana kila wanachofanya leo Kita wa affect watoto huko mbeleni.

Tunasikiliza hotuba za Nyerere hadi leo na zilirekodiwa kipindi cha ANALOG sasa kipindi hiki cha DIGITAL zari na diamond wake kazi kuchafuana wakae wakijua wao WASHAOZEANA zari kaoza mondi kaoza wote TABIA zao mbovu ila wanachokifanya sasa ni kuwaharibia WATOTO future zao.

Hatujua Tiffah atakuja kua nani wala nillan atakuja kua nani,Wazazi wanavyochafuana kwenye mitandao vitu havifutiki vinabaki TU sipati picha aibu ya watoto wa zari huko shule wanavyotaniwa kuhusu wazazi wao,labda sasa hv hawajielewi but will reach a time watoto wakisha pevuka kama hawa wazazi panzi wakiendelea na huu ujinga Watasababisha watoto wafanye mambo ya ajabu.

Zari,Diamond angalieni Future ya watoto wenu huu ujinga wenu shauri yenu.
 
mimi y
Hii Ishu watu wengi hawajajua ila inawamaliza vijana wengi sana. Hasa wale wanaokula supplement tabs za kujenga miili. Wale wanaomeza kila siku na kupiga Mazoezi wana matatizo ya E.D.

Vile vidonge ni vibaya Sana, na vina uraibu! Mtu akiacha mwili unamuuma na nyama nyama za mwili kuanguka. Na mashine nayo inakosa nguvu.
.....mimi kama mpiga chuma nasema watumia suplements wanawahi kujaa ila wakiacha wanaisha mapema..mfano..van vicker...sasa ndo unakuta kule chini nako kunachoka maana misuli inatanuliwa kwa nguvu ya supplements with low gym workout..madhara ya baadae ni shinikizo la damu la kushuka au kuua nguvu za kiume hadi kupelekea kua bwabwa ....pga chuma bila sumpliments..for hot and longer sexy body
 
Okay kwa hiyo alikuwa kimaslahi tuu kwa Domo. Ila sishangai maana amesema anatumia K kuishi mjini.
BTW, hata huyo trainer na wengine wanamtumia zari kimaslahi. Kwa sababu hamna mtu mwenye muda wa kupoteza kwa mwanamke mwenye watoto wa5 kama hayupo kwake kimaslahi.

Ni mwendo wa maslahi dogo, hata Diamond alikuwa na maslahi yake kwa Zari, vivyohivyo Zari kwa Diamond na hao wengine pia.

Bahati mbaya ni hapa tu wanapoanikana kwenye mitandao.
 
Kabisa!! Hawa mara nyingi tunawaita msenge mbavu!! Kwa wenzetu wasenge wa hivu ndio wengi!!

Mwenzio siku hzi hawa vijana six packs na kuvaa vinguo vya ajabu sina imani nao..

Wakati nafanya utafiti wangu mdogo juu ya mashoga, mashoga wengi walikuwa na six packs.




nimechelewa kuiyona coment yako but this is exactly truth
 
Huo uzoefu wewe kama mwanaume uliutoa wapi?? [emoji849][emoji849][emoji849]
Naombeni nichangie uzoefu wangu kwenye haya mambo
Ni wazi kwasasa Zari ana msongo wa mawazo hasa kutokana na mashambulizi anayopata kila kona... Lakini kama ukiweza kukaa naye ukamuuliza kwq hakika anaweza kukwambia kuwa Mondi ni kifaa japo naye anaaza makeups
Hawa wanaoitwa handsome men ni majanga tupu, pamoja na hawa wenye misuli, wengi wao ni mchicha mwiba na ngangaripoa
Mwanaume hapaswi kuwa mzuri kupitiliza. Mwanaume hapaswi kuwa na extra makeups... Mwanaume hapaswi kuwa na showoffs nyingi
Hawa masculine ni majanga, wengi wanahusudu kulala kisogo kikiangalia juu.. Wanaambiwa manii zinasaidia kuwaongezea nguvu kuliko dawa za kuongeza nguvu
Ila out of frustration na kujaribu kuponya maumivu ya kuachwa... Wanawake wengi hupenda kutoka na mwanaume mzuri kuliko aliyeachana naye bila kujali kipato.. Lakini niwaambieni ukweli wengi ni majanga kitandani... Kama si mchina mwiba basi ni ngangaripoa
 
Back
Top Bottom