Picha: Huyu sio Chief kweli?

Picha: Huyu sio Chief kweli?

Tulitokomeza mamlaka za machifu na lilikuwa jambo zuri sana. Wanasiasa leo wanataka kuwarudisha ili kujipatia points za kisiasa. Hovyo sana.
 
Duh watu mna macho!.
P
Sasa unajua hata aliyepewa nyumba naye yupo Miongoni mwa machief?
Unajua hata Wao kumbe ni wanachama wetu bhana..

Hyu ndo aliyepewa Nyumba..

20240224_150426.jpg


Baadhi ya Machief wakipendeza kwenye Vazi la Chama
Screenshot_20240224_165348_Gallery.jpg
 
Ni yeye mwenyewe Mkuu..
Tofauti ni kwamba huko alikuwa kavaa kofia ya Chief mwemye Mvi...

Na hapo.kwenye Nyumba chief mwenye mVi nyeupe kavaa kofia ile aliyokuwa amevaa

Nmechunguza upya nimegundua mkuu,Hawa machifu mara nyingi shule hakuna kichwani,Dr Tulia anawatumia kisiasa!huyo Mwenye rasta eti ndo chief mkuu wa mkoa wa Mbeya,nadhani alipewa kisiasa.
 
Tumia Dr , msomi, lakini kawekeza kwenye ulozi.

Kusoma Si kuelimika.
 
Back
Top Bottom