mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
Nimemuona home boy hapo kulia namkubali sanaaaa
Dah tena kumbe na Ni wanachama wetu
Duh watu mna macho!.
Sasa unajua hata aliyepewa nyumba naye yupo Miongoni mwa machief?Duh watu mna macho!.
P
Ni yeye mwenyewe Mkuu..Ndiyo yeye kama siyo yeye basi ni mdogo wake😁
Ni yeye mwenyewe Mkuu..
Tofauti ni kwamba huko alikuwa kavaa kofia ya Chief mwemye Mvi...
Na hapo.kwenye Nyumba chief mwenye mVi nyeupe kavaa kofia ile aliyokuwa amevaa
Hahahaha
Hahahaha.. Hatari sana