Picha: IDF wameua makamanda wanne wa HAMAS, wamesalia watatu ambao wameamrishwa wajisalimishe

Picha: IDF wameua makamanda wanne wa HAMAS, wamesalia watatu ambao wameamrishwa wajisalimishe

Wanne tu wakati mayahudi zaidi elf 1 washateketea? Lkn hao wametangulia peponi huku wakiristo wakifa na mayahudi wao motoni. Kila mkiristo akifa ktk ukiristo motoni
umekalilishwa na ww utawakalilisha wanao
 
Wanne tu wakati mayahudi zaidi elf 1 washateketea? Lkn hao wametangulia peponi huku wakiristo wakifa na mayahudi wao motoni. Kila mkiristo akifa ktk ukiristo motoni
Linganisha na idadi ya wapalestina na haya magaidi waliokufa!
 
The 13th battalion (of the Golani Brigade) has officially left the Gaza Strip due to heavy losses among its commander ranks & soldiers. The battalion practically became paralysed, the remaining soldiers were sent to a medical institution since they are suffering from physical & mental problems and can’t continue to fight.
 
kama marehemu mohamad yupo mbinguni kwa Mungu hao nao watakuwa mbinguni,lakini kama yupo kaburini nao watakuwa alipo mohamadi. Hao wakristo alipo yesu watakuwepo. Yupo mbinguni nao watakuwa alipo kristo
Wanne tu wakati mayahudi zaidi elf 1 washateketea? Lkn hao wametangulia peponi huku wakiristo wakifa na mayahudi wao motoni. Kila mkiristo akifa ktk ukiristo
 
kama marehemu mohamad yupo mbinguni kwa Mungu hao nao watakuwa mbinguni,lakini kama yupo kaburini nao watakuwa alipo mohamadi. Hao wakristo alipo yesu watakuwepo. Yupo mbinguni nao watakuwa alipo kristo
Mkiristo ili apate pepo lazima aingie ktk uislam
 
Kwa nini kila mkristo akifa ktk ukristo anaenda motoni, una maana gani kwamba dini ndio inamuingiza mtu peponi, dini hizi hizi ambazo zimeletwa na binadamu, are you serious??😛😛
Shangaa na wewe....
 
Hawa hapa wameshawahishwa kwa mabikira....

GB31KllWAAAAR2_


The IDF has successfully targeted four out of seven senior Hamas brigade commanders, the Israeli military's Arabic spokesperson Avichay Adraee wrote Thursday on X.

"The IDF continued to dismantle Hamas's Gaza brigades," Adraee wrote.


View: https://twitter.com/AvichayAdraee/status/1737814602216304883?ref_src=twsrc%5Etfw%7Ctwcamp%5Etweetembed%7Ctwterm%5E1737814602216304883%7Ctwgr%5E45cdfe706fcbb3684967e14ba12b3f34cf46d4f7%7Ctwcon%5Es1_&ref_url=https%3A%2F%2Fwww.jpost.com%2Fbreaking-news%2Farticle-779017

"Of the seven senior brigade commanders, four have so far been liquidated, leaving only three senior commanders within the chain of command."



UN: ===>>>>> If there is a hell on Earth today, its name is northern Gaza.


View: https://youtu.be/16hq1CXl5Lc?si=Kc_d3ojHWDi7Gohg
 
Jana Aljazeera imeripoti kuwa tangu kuanza kwa vita hapo Gaza, israel imefanikiwa kuwaua wapiganaji wa hamas zaidi ya 8,000.
Kiujumla Gaza yote ni nyumbani kwa magaidi ya hamas kwa kuwa kila wakiitisha uchaguzi hamas walikuwa wanashinda. Hivyo si wanaume wala wanawake na watoto wote ni walewale. Namsifu Israel, anahuruma sana, wengine wangepiga mabomu ya sumu kuua hadi sisimizi wa gaza. Lakini ni huruma za Netanyahu tu.
 
Hivi vita vingeisha kwa wiki moja tuu hamas wote wangewahishwa kwa mabikra kama vingekuwa vinapiganwa juu ardhini.
Tatizo hamas wanaishi mashimoni, wanaibuka na kuzama tena humo ndani.
Juzi Israel imegundua tunnel lenye urefu wa mita 50 kwenda chini ambalo inaaminika lilikuwa maalum kwa matumuzi ya viongozi wa juu wa hamas.
Pole kijana 🤣
Yaani mnapigana halaf mnataka mumpangie jamaa asipige vichwa vya pua na utosi
Usilolijua nikwamba hii vita isingechukua hata dakika 30 kama mazayuni yangeenda kuwafata hamas huko walipokaa
Sasa basi tumue kupangiana israhell wasitumie ndege na makombora yakutokea baharini waende front
Toka hii vita imeanza wewe ndio umewahi toa hoja ya hovyo kabisa kuwahi kuiona
 
The 13th battalion (of the Golani Brigade) has officially left the Gaza Strip due to heavy losses among its commander ranks & soldiers. The battalion practically became paralysed, the remaining soldiers were sent to a medical institution since they are suffering from physical & mental problems and can’t continue to fight.
Ndio maana ehud olmert akatoa mlio huko pangoni alipo
 
Back
Top Bottom