Pakawa JF-Expert Member Joined Mar 11, 2009 Posts 7,973 Reaction score 13,647 Dec 9, 2021 #2 Hahahhh una vituko wewe! Chini ya mwamvuli wa chuma kujikinga na jua na mvua....dunia imetoka mbali. Nao ni ujuzi wa kipekee
Hahahhh una vituko wewe! Chini ya mwamvuli wa chuma kujikinga na jua na mvua....dunia imetoka mbali. Nao ni ujuzi wa kipekee
Ndengaso JF-Expert Member Joined Jul 18, 2014 Posts 7,831 Reaction score 14,259 Dec 9, 2021 #3 Hii technology haikufika Bongo?
Kinyungu JF-Expert Member Joined Apr 6, 2008 Posts 19,484 Reaction score 38,416 Dec 9, 2021 #4 Pakistan ni nchi moja ya kishenzi sana..jamaa ni wabaguzi mpaka kwenye kope
D dos.2020 JF-Expert Member Joined Feb 17, 2009 Posts 11,880 Reaction score 10,372 Dec 9, 2021 #5 Kinyungu said: Pakistan ni nchi moja ya kishenzi sana..jamaa ni wabaguzi mpaka kwenye kope Click to expand... hata wewe ni mbaguzi
Kinyungu said: Pakistan ni nchi moja ya kishenzi sana..jamaa ni wabaguzi mpaka kwenye kope Click to expand... hata wewe ni mbaguzi
Kinyungu JF-Expert Member Joined Apr 6, 2008 Posts 19,484 Reaction score 38,416 Dec 9, 2021 #6 dos.2020 said: hata wewe ni mbaguzi Click to expand... Siwafikii hawa fanatics wa kipakistani. Kama haujui ushenzi wa hawa jamaa waulize Bamgladesh
dos.2020 said: hata wewe ni mbaguzi Click to expand... Siwafikii hawa fanatics wa kipakistani. Kama haujui ushenzi wa hawa jamaa waulize Bamgladesh