Picha iliyotembea sana kwenye media siku ya leo

Picha iliyotembea sana kwenye media siku ya leo

We ndio ujui kiingeleza pale ujumbe upo sema grammar ndio hakuna na kinacho matter ni ujumbe, ndio muhimu alafu mwandishi kiingeleza kwake ni lugha ya tatu.
Wewe unaeona aibu ndio hujitambui.
 
Kawaida nilidhani kakosea kiswahili..kumbe kingereza..waitaliano,wafaransa, spain kinawasumbua sana,ss sembuse kwetu huku,
 
Kawaida nilidhani kakosea kiswahili..kumbe kingereza..waitaliano,wafaransa, spain kinawasumbua sana,ss sembuse kwetu huku na hao ni bara la ulaya na lugha ya biashara hawajui..
 
Message delivered lakini Samatta ni central striker zaidi na Depay ni winger
 
waziri mpya wa elimu akiteuliwa aongeze div6 watu watapata tu.
 
Kiingereza wito, lugha imekuja na meli hiyo, sio ajabu, China utakuta group la watu 100 ni mmoja tu anajua Kiingereza kama cha huyo alieandika hapo, kwa hiyo hiyo sio lugha yetu kawaida kabisa
Achs ufala we ng'ombe. Ulitumia cha nini ukijua sii lugha yako. Vaa basi gsuni la mkeo uendee ofisini. Hujui usitumie sio kila saa kujitetea sio lugha yetu. Kinachmokushinda kutumia ya kwako nn? Natamani niyacharaze mboko yarudi class sh...nzy type
 
Watumwa ni watumwa tu. Kweli wazungu walituweza loooo
 
We ndio ujui kiingeleza pale ujumbe upo sema grammar ndio hakuna na kinacho matter ni ujumbe, ndio muhimu alafu mwandishi kiingeleza kwake ni lugha ya tatu.
Wewe unaeona aibu ndio hujitambui.

Kwani tunafundishwa kingereza ili tukijue nusu nusu ama tukijue kama tunavyokijua kiswahili? Ukiona watu wanafundishwa kwa lugha halafu wanashindwa kuimudu ujue kunatatizo hapo. Hivyo, binafsi simpondi aliyekosea ila tunatakiwa kukiri kwamba kunatatizo katika mfumo mzima wa kuwafanya watu waijue lugha ya kingereza.

Moja ya sababu ninayodhani ni serikali yenyewe kudharau kada ya ualimu kwa kuwachukua wale waliofaulu kwa alama za chini kwenda kufundisha. Mfano, huko nyuma ili uwe mwalimu wa shule ya msingi ni pale ukipata kuanzia Div IV. Huyu ndio akamwandae mtoto wa shule ya msingi kwenye basics za english ambapo hata yeye pengine kafeli kutokana na changamoto ya lugha.

Katika ngazi ya sekondari (O-Level), wale wanaopata Div III form six ndio walienda diploma ya ualimu kwa ajili ya kufundisha sekondary. Kasumba hiyo ilipanda hadi vyuo vikuu kama UDSM.

Hivyo, hata tukilaumiana humu ndani kuwa unajua ama hujui, tatizo sio letu (individually) bali mfumo ndio unazalisha products ambazo ni substandard.

Hali ilikuwa nitofauti kwa waliosoma zamani. Walimu kuanzia shule ya msingi walikuwa na skills za kutosha katika specializations zao. Mwalimu wa UPE anaweza kuwa bora hata kuliko mwalimu wa sekondary mwenye diploma. Sina lengo la kudhalilisha watu lakini waliozaliwa zamani na kupintia enzi tofauti wanaweza kukubaliana nami.
 
Wanaaibisha nchi kwa kiingereza kibovu! 'Good' halafu 'than'!
Jamaa ameanika sura yake akidhani amefanya jambo kuubwa, kumbe angejua alichoandika huo uso angeuficha nyuma ya bango!

Hahaha.. Mkuu ila huyu jamaa hakua na haja ya kujificha, kaeleweka alichotaka kumaanisha. Kiingereza tuwaachie waingereza hata Wachina na wengineo wengi tu hawakijui
 
Kiingereza wito, lugha imekuja na meli hiyo, sio ajabu, China utakuta group la watu 100 ni mmoja tu anajua Kiingereza kama cha huyo alieandika hapo, kwa hiyo hiyo sio lugha yetu kawaida kabisa

Wachina Na wajapan wanaandika kiingereza kizuri tu Ila kuzungumza shida. Huyu jamaa siamini kama Ni mtanzania!
 
Sasa Depay na Samata wanacheza namba moja? Hata hivyo ni miezi mi 4 tu nyuma huyu Depay alifanya makubwa katika World cup na pia alikuwa mfungaji bora wa ligi kuu ya Uholanzi. Tunapenda ushabiki bila kuangalia facts na ndio maana tulimpanikisha Mkwasa na akafanya subs zisizo na mpango.

Back to topic; Kawaulize wachezaji wakubwa waliowahi kufundishwa na LVG watakuambia jamaa ana mfumo mgumu sana. Jamaa yuko hard sana,anapenda kutumia viungo wengi wa kukaba na ndio sababu ya Depay kushindwa kufit, siyo yeye tu hata Rooney anapata taabu. Ilimtokea Di Maria last season ... Hawapi wachezaji uhuru bali anataka wastick kwenye mfumo. Fergie yeye alikuwa dynamic, ndio maana aliweza kuchukua kombe hata kwa kutumia wachezaji wa kawaida sana.

Ukitaka kujua LVG ni mkorofi muulize Luca Toni alipokuwa pale Baryen Munich. Msimu wa nyuma Luca Toni alimaliza na magoli 40+ lakini LVG alipongia jamaa hakufikisha hata goli 20.

Kwa level EA Samata anajitahidi, tatizo ni kuwa hataweza kucheza ligi kubwa dunianni kwa sbb ya nafasi ya Tz kwenye viwango vya Fifa. Labda ajaribu Ubelgiji, au Urusi, au Denmark, akibahatika sn France. Kwa EPL au La Liga ni lazima utoke katika nchi iliyo ndani ya 70 bora. Ngoja nikomee hapo!
 
Nafuu yangu natumia English ya 47yrs ago alafu naongezea na kile cha Google Translate.
 
Sasa Depay na Samata wanacheza namba moja? Hata hivyo ni miezi mi 4 tu nyuma huyu Depay alifanya makubwa katika World cup na pia alikuwa mfungaji bora wa ligi kuu ya Uholanzi. Tunapenda ushabiki bila kuangalia facts na ndio maana tulimpanikisha Mkwasa na akafanya subs zisizo na mpango.

Back to topic; Kawaulize wachezaji wakubwa waliowahi kufundishwa na LVG watakuambia jamaa ana mfumo mgumu sana. Jamaa yuko hard sana,anapenda kutumia viungo wengi wa kukaba na ndio sababu ya Depay kushindwa kufit, siyo yeye tu hata Rooney anapata taabu. Ilimtokea Di Maria last season ... Hawapi wachezaji uhuru bali anataka wastick kwenye mfumo. Fergie yeye alikuwa dynamic, ndio maana aliweza kuchukua kombe hata kwa kutumia wachezaji wa kawaida sana.

Ukitaka kujua LVG ni mkorofi muulize Luca Toni alipokuwa pale Baryen Munich. Msimu wa nyuma Luca Toni alimaliza na magoli 40+ lakini LVG alipongia jamaa hakufikisha hata goli 20.

Kwa level EA Samata anajitahidi, tatizo ni kuwa hataweza kucheza ligi kubwa dunianni kwa sbb ya nafasi ya Tz kwenye viwango vya Fifa. Labda ajaribu Ubelgiji, au Urusi, au Denmark, akibahatika sn France. Kwa EPL au La Liga ni lazima utoke katika nchi iliyo ndani ya 70 bora. Ngoja nikomee hapo!

mkuu kenya ipo nafasi ya ngapi fifa?!
Maana namuona Wanyama wanawaburuza pale Southampton
 
mpaka umeweza kukosoa maana yake umesoma ukaelewa
 
Sasa Depay na Samata wanacheza namba moja? Hata hivyo ni miezi mi 4 tu nyuma huyu Depay alifanya makubwa katika World cup na pia alikuwa mfungaji bora wa ligi kuu ya Uholanzi. Tunapenda ushabiki bila kuangalia facts na ndio maana tulimpanikisha Mkwasa na akafanya subs zisizo na mpango.

Back to topic; Kawaulize wachezaji wakubwa waliowahi kufundishwa na LVG watakuambia jamaa ana mfumo mgumu sana. Jamaa yuko hard sana,anapenda kutumia viungo wengi wa kukaba na ndio sababu ya Depay kushindwa kufit, siyo yeye tu hata Rooney anapata taabu. Ilimtokea Di Maria last season ... Hawapi wachezaji uhuru bali anataka wastick kwenye mfumo. Fergie yeye alikuwa dynamic, ndio maana aliweza kuchukua kombe hata kwa kutumia wachezaji wa kawaida sana.

Ukitaka kujua LVG ni mkorofi muulize Luca Toni alipokuwa pale Baryen Munich. Msimu wa nyuma Luca Toni alimaliza na magoli 40+ lakini LVG alipongia jamaa hakufikisha hata goli 20.

Kwa level EA Samata anajitahidi, tatizo ni kuwa hataweza kucheza ligi kubwa dunianni kwa sbb ya nafasi ya Tz kwenye viwango vya Fifa. Labda ajaribu Ubelgiji, au Urusi, au Denmark, akibahatika sn France. Kwa EPL au La Liga ni lazima utoke katika nchi iliyo ndani ya 70 bora. Ngoja nikomee hapo!

Iv huwa unapata mda wa kupitia daftari za mwanao kweli!?
 
Wanaaibisha nchi kwa kiingereza kibovu! 'Good' halafu 'than'!
Jamaa ameanika sura yake akidhani amefanya jambo kuubwa, kumbe angejua alichoandika huo uso angeuficha nyuma ya bango!

Message sent,grammar wapelekee watu wa linguistic!
 
Back
Top Bottom