Picha iliyotembea sana kwenye media siku ya leo

Picha iliyotembea sana kwenye media siku ya leo

Naona jamaa kafikisha ujumbe wa kweli kabisa, hata mimi naamini Samatta yuko vizuri kuzidi Depay

Kumbe una "Amini" tu!! Mimi nilifikiri kuwa umetumia "fact" kuwalinganisha? Kaazi kweli kweli..!!
 
Wanaaibisha nchi kwa kiingereza kibovu! 'Good' halafu 'than'!
Jamaa ameanika sura yake akidhani amefanya jambo kuubwa, kumbe angejua alichoandika huo uso angeuficha nyuma ya bango!

Mkuu kwani kiingereza hicho cha mshkaji kinatofauti gani na kiingereza cha Mourinho!?

Au wewe unadhani aliyelengwa Van Gaal akisoma hapo hata elewa?

Tatizo letu wabongo ndio hilo, unaacha kuangalia msingi wa kitu unakimbilia minor issues
 
Achs ufala we ng'ombe. Ulitumia cha nini ukijua sii lugha yako. Vaa basi gsuni la mkeo uendee ofisini. Hujui usitumie sio kila saa kujitetea sio lugha yetu. Kinachmokushinda kutumia ya kwako nn? Natamani niyacharaze mboko yarudi class sh...nzy type

Mkuu povu lote hilo la nini wakati wewe mwenyewe kiswahili chako tu huwezi kukiandika kwa ufasaha
Kweli nyani haoni kundule!!!!!
 
Wanaaibisha nchi kwa kiingereza kibovu! 'Good' halafu 'than'!
Jamaa ameanika sura yake akidhani amefanya jambo kuubwa, kumbe angejua alichoandika huo uso angeuficha nyuma ya bango!

Inaonekana unaiabudu sana hiyo lugha ya mashetani.
 
Ni only 6% ya watu wote duniani wanajua kingereza. Hivyo sio swala la ajabu kukosea.
 
Kiingereza sahihi mwachieni malkia hapa ni ujumbe tu.!!
 
Wanaaibisha nchi kwa kiingereza kibovu! 'Good' halafu 'than'!
Jamaa ameanika sura yake akidhani amefanya jambo kuubwa, kumbe angejua alichoandika huo uso angeuficha nyuma ya bango!
Amini usiamini hiko kingereza ni bora kabisa, neno good limetumika kama noun hapo,
angalia "rectitude" tatizo letu kingereza za east africa "too rigid"
 
Kikubwa ni kwamba ujumbe wake umeeleweka, suala la lugha ni la jumla.
 
Amini usiamini hiko kingereza ni bora kabisa, neno good limetumika kama noun hapo,
angalia "rectitude" tatizo letu kingereza za east africa "too rigid"
Mkuu hata Mimi wanajf wamenishangaza kwakweli..nmejaribu kutafuta kosa ila sijabahatika kuliona....ni sawa na mtu kusema"where was you"hapa eastafrica utaonekana umekosea..wao wamezoea kusema "where were you"
 
Watu wengine bwana sasa hata kama kakosea kiingereza wewe hujaelewa? Acheni unaa usio na msingi bwana, kijana kaeleweka kabisa.
 
Sasa Depay na Samata wanacheza namba moja? Hata hivyo ni miezi mi 4 tu nyuma huyu Depay alifanya makubwa katika World cup na pia alikuwa mfungaji bora wa ligi kuu ya Uholanzi. Tunapenda ushabiki bila kuangalia facts na ndio maana tulimpanikisha Mkwasa na akafanya subs zisizo na mpango.

Back to topic; Kawaulize wachezaji wakubwa waliowahi kufundishwa na LVG watakuambia jamaa ana mfumo mgumu sana. Jamaa yuko hard sana,anapenda kutumia viungo wengi wa kukaba na ndio sababu ya Depay kushindwa kufit, siyo yeye tu hata Rooney anapata taabu. Ilimtokea Di Maria last season ... Hawapi wachezaji uhuru bali anataka wastick kwenye mfumo. Fergie yeye alikuwa dynamic, ndio maana aliweza kuchukua kombe hata kwa kutumia wachezaji wa kawaida sana.

Ukitaka kujua LVG ni mkorofi muulize Luca Toni alipokuwa pale Baryen Munich. Msimu wa nyuma Luca Toni alimaliza na magoli 40+ lakini LVG alipongia jamaa hakufikisha hata goli 20.

Kwa level EA Samata anajitahidi, tatizo ni kuwa hataweza kucheza ligi kubwa dunianni kwa sbb ya nafasi ya Tz kwenye viwango vya Fifa. Labda ajaribu Ubelgiji, au Urusi, au Denmark, akibahatika sn France. Kwa EPL au La Liga ni lazima utoke katika nchi iliyo ndani ya 70 bora. Ngoja nikomee hapo!

Victor wanyama midfielder Wa Southampton Kenya ni ya ngapi kwenye rank za FIFA mkuu
 
Back
Top Bottom