Diana Spencer
JF-Expert Member
- Nov 14, 2018
- 3,609
- 5,144
Kwahiyo inavyosemwa kuwa ana utajiri wa $ 500m kumbe sio cash??Mgao huo hauhusishi hizo mali, inahusisha cash, hakuna mali aliyochuma naye... zote kazikuta[emoji3]. Bahat mbaya matajiri hawana cash, na kama ipo kiduchu
Sidhani kama kuna watoto wa Meng wanamzid Mengi mwenyewe umri ila, wapo watoto wa Mengi wanamzidi Jack umri pakubwa tu ,hao ndo watashikana nae vilivoUkurugenxi labda kama unaota ndoto za usiku . Watoto wakubwa ambao wanamzidi Mengi umri wataenda wapi. Yule binti Regina Mengi ndio alikuwa anasimamia hizo TV na Radio Kwa miaka . Jackline ataingizaje pua hapo. Atakuwa anaenda kama mgeni. Hujawahi kuona wenye haki wanazulumiwa sasa huyu alieolewa akakuta Mali zote zipo , watoto wa Mzee ndio walikuwa wasimamizi. Jacklin kazi yake ilikuwa Kula Raha na kutumia pesa.watoto wa mzee wameitumikia kampuni Kwa miaka mingi toka inaanza mpaka hapo ilipo. Kumbuka hata Yule motie Mengi iliwahi kusemekana EATV ni yake
Kwani klyin ana haki gani . Unajua Mali yote kaikuta . Mali yote alitafuta Mzee Mengi na Mkewe mkubwa ambaye ni marehemu na pia hao watoto wake wakubwa wemefanya kazi ya kuikuza hiyo kampuni ya Mzee Mengi . Kylin asubiriage huruma ya wale watoto mapacha. Yeye Kylin Hana chake
Wewe unataka ushahidi kama nani? Kwenye hiyo kesi wewe umealikwa?Kama una ushaidi si ubandike hapa ubaoni zaidi ya hivo yatabaki kuwa maneno ya vijiweni
Yaaani umemchukia kwa kusoma comment za watu humu jf?!
We kweli huna akili!
Ulivyo na akili fupi unaamini kila linaloandikwa humu si ndyo?Ndio maana sitaki kuoa kwa upuuzi kama huu..
Yaani Mengi na hela alizokuwa nazo bado anachitiwa..vp kuhusu watu wa hali ya chini
Haya mambo huwa yana mkanganyiko mkubwa sana.Hata kama aliandika,prosecution wanawezatoa uhakiki mahakamani kua mzee aliandika akiwa mgonjwa..
Wakichukua medical records nk wanaweza prove hiyo kitu kirahisi sana....
Nasikia mzee alikua na dementia...na kumbuka wale wana madaktari wa familia medical records zote zipo....
Kama alikua diagnosed na dementia halafu ndio will ikaandikwa from the date of diagnosis onwards,mzee mzigo mzima unakua void!
Will ikiwa void,mzigo mzima unaletwa mezaniiii upyaa!
Plus na hiyo ndoa iliyofanyiwa huko sijui Cape Verde or wherever the fvck,jurisdiction haita-apply hapa uswazi!
Ngoma ni ndefu,washabiki wa KLyn wasidhani ni slum dunk tu!
Plus KLyn sidhani kama ana miakili very smart kivile namna hiyo labda kuna mahali alisahau kuset vizuri.....
Kuna mahali patakua na loophole alisahau prosecution watapita hapo hapo kama radi vile!
Kwanza Inawezekana kabla Mzee Mengi hajaletwa Tanzania nyumbani lazima watakuwa wameenda kuangalia kila Documents za Mzee . Lazima watakuwa wameshachambua mafaili yote. Uko Dubai alikoenda huku nyuma lazima nyumba itakuwa ilishachambuliwa na kuchukua documents zote. Kwa wachaga sio kirahisi Kylin atakuwa na Hali ngumuSidhani kama kuna watoto wa Meng wanamzid Mengi mwenyewe umri ila, wapo watoto wa Mengi wanamzidi Jack umri pakubwa tu ,hao ndo watashikana nae vilivo
Huyu bidada hapa kwa wamacahme hatachomoka salama kabisa .Ataambiwa alete mpka ATM card ya mzee. Tusubiri mda ni hakimu mzuri sana.
Akiulizwa kwanini alitaka Mzee aende dubai na familia kutoka Zanzibar kisa watoto hawajaridhika huku anaona hali ya Mzee sio nzuri atajibu nini?
Kwahiyo inavyosemwa kuwa ana utajiri wa $ 500m kumbe sio cash??
Hili swala limenifanya nifikiri sana mkuu.Sidhani kama kuna watoto wa Meng wanamzid Mengi mwenyewe umri ila, wapo watoto wa Mengi wanamzidi Jack umri pakubwa tu ,hao ndo watashikana nae vilivo
Huyu bidada hapa kwa wamacahme hatachomoka salama kabisa .Ataambiwa alete mpka ATM card ya mzee. Tusubiri mda ni hakimu mzuri sana.
Akiulizwa kwanini alitaka Mzee aende dubai na familia kutoka Zanzibar kisa watoto hawajaridhika huku anaona hali ya Mzee sio nzuri atajibu nini?
Leta ushahidi hapa jf uliporise allegations zaidi ya hivo ni mbea na umbea hapa jf si mahala pakeWewe unataka ushahidi kama nani? Kwenye hiyo kesi wewe umealikwa?
Asante mkuuSon of the b...ch stop coming into my coments
Kwahiyo inavyosemwa kuwa ana utajiri wa $ 500m kumbe sio cash??
Kwanza Inawezekana kabla Mzee Mengi hajaletwa Tanzania nyumbani lazima watakuwa wameenda kuangalia kila Documents za Mzee . Lazima watakuwa wameshachambua mafaili yote. Uko Dubai alikoenda huku nyuma lazima nyumba itakuwa ilishachambuliwa na kuchukua documents zote. Kwa wachaga sio kirahisi Kylin atakuwa na Hali ngumu
Kwa sheria ipi mkuu?Mali walizochuma pamoja baada ya ndoa ndo Jack atapata mgawo sasa sijui zipo?
Networth sio?Hapana sio cash tu ,,ni asset zote alizo nazo plus na cash yake ,lakin hapo cash mara nyingi huwa ndogo .
Mambo ni magumu Kwa jackylin. Hata kama mlango umefungwa si unavunjwa tuu. Unacheza na pesa ya Mzee Mengi ilivyo nyingi. Mlango utakuwa ulishavunjwa na kuweka mwingine. Japo wengine wanasema alifilisika wakati mpaka mwaka Jana desemba ilioonyesha Mengi ana networth ya Us560millionExactly itakuwa nyumba ilikikaguliwa sana tu .
Labda ukute mwanamke alifunga chumba chake na Mzee
Huyu dada yupo katika wakti mgumu sana kwa sababu macho ya wengi hajafuraishwa na jinsi Mzee alivofia mikonon mwake .
Atapata wakati mgumu mbele ya familia ya akina Mengi sababu wanamuona alikuja kutumia tu vya Mzee na si kutafuta.
Jack itabid aeleze familia mambo mengi sana ,na pia akitaka mgawo mkubwa atatakiwa hata na mahakama aelezee vitu alivochuma na Mzee ,Na isitoshe mzee ni public figure. Na mali zake zinajulikana sana tu.
Na kama kweli mzee kaacha hivyo mi nitasikitika sana watoto wake wakubwa wamepigika nae weee toka wakiwa wadogo wamekula maharage ila baba yao afungue makampuni mwisho was siku hata percent wanayopata iwe ndogo kuliko mwanamke aliyekutana nae uzee akiwa kashachuma vya kutosha aisee mzee atakuwa kawaumiza sana wanaeKama haya yanayosemwa yana ukweli na Mengi kaacha will inayompa Jackie percentage kubwa kuliko watoto wakubwa basi lawyers wajiandae kuvuna mpunga mrefu maana naona kuna kesi kubwa inakuja muda si mrefu ujao.
Networth sio?
Asante mkuu