Picha: Jacky Mengi akiwa na mwanaume wa kiarabu ambaye inasemekana anatoka nae kimapenzi

Picha: Jacky Mengi akiwa na mwanaume wa kiarabu ambaye inasemekana anatoka nae kimapenzi

Jamani Jamani wanazengo Leo wambea tutakufa kwa pressure maana sio kwa double breaking news za Leo , yani wakati sakata la gwajima bado likiwa bichi, Jipya laibuka kuhusu mke wa marehemu mengi akiwa kwenye picha ya pamoja na mwanaume aliyetajwa kutoka nae kimapenzi anayejulikana kwa Jina la Hussein mmliki wa element bar na balozi.

View attachment 1091442

Ila wanazengo Leo nimemuangalia jacky kwenye msiba alivyo mkavu na tinted juu sijui alikua anaficha nini usoni, yan ukiangalia kwa makini utasema Madam ritha Ndo alikua mfiwa Na sio jacky, na ndio maaan hata watu walikua hawana time naye kabisa kumpa pole, yan Yale maneno ya mange yanaanza kuniingia kichwani, jacky she is a Jezebel .

Mi nilivyoona mange kataja mpaka Jina la mwanaume mpaka picha ikapostiwa pale pale mbea mie nikawa alerted there is something danger.

View attachment 1091444

Unajua kwa stage aliyofikia mengi hakupaswa Kuwa na stress kabisa , huenda aligundua kitu kutoka kwa jacky, na kama mnavyojua babu yetu alikufa na kuoza kwa jacky, alikua aambiliki, Ila sema Ndo hivyo mapenzi upofu.

Na nimemuona regina alivyonuna wakati kabeba shada ya maua mmh yani jacky ajiandae tu kuvuliwa nguo , na kama tu ikijulikana alikua anacheat, itakula kwake hataambulia hata Mia na wamachame watamfanyia kitu mbaya atajuta maisha yake yote View attachment 1091186
Hakuna kitu yule ni mama yao anastahili aheshimiwe
 
uko sahihi kabisaa, mzee hakustahili misafarisafar yan ktk hili tutamuhis tu vibaya huyu binti
Lkn kusema ukweli kwa hali aliyokuwa nayo mzee wake siku za hv karibuni sidhani km alihitaji kuwa mtu wa safari sana, alitakiwa apumzike tu.
Haya mambo ya matanuzi ya kijinga ndio gharama yake hiyo sasa, mke hakujali afya ya mme wake.

Matokeo yake huyu dada ndio anapata kila aina ya lawama.
 
Wabongo baadala ya kutafuta pesa,mnachunguza maisha ya watu,kwanza hilo li picha,limetengenezwa tu,wala sio Jack huyo,na kama ni yeye hiyo picha imepigwa baada ya Mengi kufa,?kwanini hiyo picha haikutoka kabla,mwezi uliopita,mwaka Jana?!!!

Hivi nyie waumini Wa Gwajima mnamatatizo gani?....Hiii ndo Bongo DSM Mkuu ww endelea kutetea tu.
 
Kwa hivi sasa hauwezi ukazungumza lolote kuhusu hao watoto kuwa ndio waongeza ukoo cuz kama dada yao na kaka yao ni LGBT kama ni kweli usemayo ...hata wao wanaweza kufuata njia hiyo


Huyo wa kiume sio kweli , hacheni kumchafua na story Zenu za kubuni, kwanza watu mmewajua baada ya huu msiba halafu mnamsingizia Jambo kubwa hivyo na ni uongo
 
Umeongea point. Ukute hawa wa pembeni hawakumpenda jacky maana kazaa watt. Walijua watoto wa mercy kwa vile hawana watt (yaan mengi hana wajukuu) ina maana legacy itaishia kizazi cha akina abdiel na regina hvyo wao watachukua kila kitu it is only a matter of time uzao wa regi mengi ungeondoka.

Lakini mengi nae aliwawahi akaleta mapacha... wao ni legal heir of reginald M.
Huyo mdogo wa marehemu hajachuma mali zake?hii vita ni ya ndugu wa pembeni kabisa wa mzee mengi,
 
Ndio maana wale watoto wapo kama wana umwa hivi wamelegea legea kwa kifupi hawapo sawa, kumbe ni watoto wa chupa
Exactly. They are abnormal
Kama mmoja ndiyo utamgundua kabisa.
 
Na ushetani wao utawarudia wenyewe, wakati wanatongozana hawakuwepo leo hii wanampangia mtu urithi,
Michango ya wadau humu ndio inasadifu jinsi walivyo cruel kwenye familia zao pia inaonesha haswaa jinsi mjane wa kiafrica anavyonyanyaswa pindi mumewe akifariki, nilidhani hayo mambo yameisha kumbe bado tena hata kwa wanaojiita wasomi.

what a shame!
Unachosema ni sahihi. But That does not justify kuondoa/kufupisha uhai wa mtu kwa sababu ya mali. Hizi rumours zinazo endelea na jinsi anavyo behave kwenye msiba na kabla ya msiba ndio inaleta dosari. Mbona wamekufa watu mashuhuri na wenye pesa wengi na hatujawahi kusikia mambo tunayoyasikia msiba huu. Kama wanamsingizia walaaniwe ila kama amefanya "shame on her" na hatapata amani daima.
 
Unachosema ni sahihi. But That does not justify kuondoa/kufupisha uhai wa mtu kwa sababu ya mali. Hizi rumours zinazo endelea na jinsi anavyo behave kwenye msiba na kabla ya msiba ndio inaleta dosari. Mbona wamekufa watu mashuhuri na wenye pesa wengi na hatujawahi kusikia mambo tunayoyasikia msiba huu. Kama wanamsingizia walaaniwe ila kama amefanya "shame on her" na hatapata amani daima.
Unaamini rumours!! yaan Jacky amuue mumewe kwa ajili ya mali wakati alikua kwenye mali, don't be so naive.

angelia kwa kujitupa tupa mngesema ana act, analia kimya kimya kwa uchungu mnasema hana aibu, mbona hamuwaangalii watoto wake wale wakubwa?
 
Umeongea point. Ukute hawa wa pembeni hawakumpenda jacky maana kazaa watt. Walijua watoto wa mercy kwa vile hawana watt (yaan mengi hana wajukuu) ina maana legacy itaishia kizazi cha akina abdiel na regina hvyo wao watachukua kila kitu it is only a matter of time uzao wa regi mengi ungeondoka.

Lakini mengi nae aliwawahi akaleta mapacha... wao ni legal heir of reginald M.
Kwamfano Regina age ya kuzaa imeshapita Tayari . Ila abdiel si bado ana mda na anaweza kuoa. Asipoa huyu bro basi Mali zote zitakuja kuwa miliki ya hawa watoto wadogo. Hakuna wa kuzichukua mwingine basi Mzee Mengi hakuwa na makosa kuoa mke Mwingine ili apate watoto . Labda ndio tegemeo la kuendeleza hiyo Mali ya Mzee
 
Kwamfano Regina age ya kuzaa imeshapita Tayari . Ila abdiel si bado ana mda na anaweza kuoa. Asipoa huyu bro basi Mali zote zitakuja kuwa miliki ya hawa watoto wadogo. Hakuna wa kuzichukua mwingine basi Mzee Mengi hakuwa na makosa kuoa mke Mwingine ili apate watoto . Labda ndio tegemeo la kuendeleza hiyo Mali ya Mzee
mkuu vipi unajua kama hawezi kuzaa? Au wewe Dr wa familia?
 
Kwamfano Regina age ya kuzaa imeshapita Tayari . Ila abdiel si bado ana mda na anaweza kuoa. Asipoa huyu bro basi Mali zote zitakuja kuwa miliki ya hawa watoto wadogo. Hakuna wa kuzichukua mwingine basi Mzee Mengi hakuwa na makosa kuoa mke Mwingine ili apate watoto . Labda ndio tegemeo la kuendeleza hiyo Mali ya Mzee
Mimi naamini watoto ni privacy ya mtu kama yule abdiel ana watoto lakini hataki wawe public?
 
Back
Top Bottom