Sasa si bora kujichagulia moja. Kwani mara nyingi vyote haviendi pamojaWanaridhika, sema PESA na mkuyenge kila kimoja kina nafasi yake. Akipata vyote anaridhika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa si bora kujichagulia moja. Kwani mara nyingi vyote haviendi pamojaWanaridhika, sema PESA na mkuyenge kila kimoja kina nafasi yake. Akipata vyote anaridhika.
Shame kwenu wote mnaopenda kuandika udaku wa uongo.
Hakuna kitu yule ni mama yao anastahili aheshimiweJamani Jamani wanazengo Leo wambea tutakufa kwa pressure maana sio kwa double breaking news za Leo , yani wakati sakata la gwajima bado likiwa bichi, Jipya laibuka kuhusu mke wa marehemu mengi akiwa kwenye picha ya pamoja na mwanaume aliyetajwa kutoka nae kimapenzi anayejulikana kwa Jina la Hussein mmliki wa element bar na balozi.
View attachment 1091442
Ila wanazengo Leo nimemuangalia jacky kwenye msiba alivyo mkavu na tinted juu sijui alikua anaficha nini usoni, yan ukiangalia kwa makini utasema Madam ritha Ndo alikua mfiwa Na sio jacky, na ndio maaan hata watu walikua hawana time naye kabisa kumpa pole, yan Yale maneno ya mange yanaanza kuniingia kichwani, jacky she is a Jezebel .
Mi nilivyoona mange kataja mpaka Jina la mwanaume mpaka picha ikapostiwa pale pale mbea mie nikawa alerted there is something danger.
View attachment 1091444
Unajua kwa stage aliyofikia mengi hakupaswa Kuwa na stress kabisa , huenda aligundua kitu kutoka kwa jacky, na kama mnavyojua babu yetu alikufa na kuoza kwa jacky, alikua aambiliki, Ila sema Ndo hivyo mapenzi upofu.
Na nimemuona regina alivyonuna wakati kabeba shada ya maua mmh yani jacky ajiandae tu kuvuliwa nguo , na kama tu ikijulikana alikua anacheat, itakula kwake hataambulia hata Mia na wamachame watamfanyia kitu mbaya atajuta maisha yake yote View attachment 1091186
Lkn kusema ukweli kwa hali aliyokuwa nayo mzee wake siku za hv karibuni sidhani km alihitaji kuwa mtu wa safari sana, alitakiwa apumzike tu.
Haya mambo ya matanuzi ya kijinga ndio gharama yake hiyo sasa, mke hakujali afya ya mme wake.
Matokeo yake huyu dada ndio anapata kila aina ya lawama.
Wabongo baadala ya kutafuta pesa,mnachunguza maisha ya watu,kwanza hilo li picha,limetengenezwa tu,wala sio Jack huyo,na kama ni yeye hiyo picha imepigwa baada ya Mengi kufa,?kwanini hiyo picha haikutoka kabla,mwezi uliopita,mwaka Jana?!!!
Kwa hivi sasa hauwezi ukazungumza lolote kuhusu hao watoto kuwa ndio waongeza ukoo cuz kama dada yao na kaka yao ni LGBT kama ni kweli usemayo ...hata wao wanaweza kufuata njia hiyo
Huyo mdogo wa marehemu hajachuma mali zake?hii vita ni ya ndugu wa pembeni kabisa wa mzee mengi,
Angekuwa nao wa kutosha na wanaotambulika wangeonekana to kwenye msiba. Na wangekaa na wanafamilia.Kwani hana wajukuu Mzee
Exactly. They are abnormalNdio maana wale watoto wapo kama wana umwa hivi wamelegea legea kwa kifupi hawapo sawa, kumbe ni watoto wa chupa
Unachosema ni sahihi. But That does not justify kuondoa/kufupisha uhai wa mtu kwa sababu ya mali. Hizi rumours zinazo endelea na jinsi anavyo behave kwenye msiba na kabla ya msiba ndio inaleta dosari. Mbona wamekufa watu mashuhuri na wenye pesa wengi na hatujawahi kusikia mambo tunayoyasikia msiba huu. Kama wanamsingizia walaaniwe ila kama amefanya "shame on her" na hatapata amani daima.Na ushetani wao utawarudia wenyewe, wakati wanatongozana hawakuwepo leo hii wanampangia mtu urithi,
Michango ya wadau humu ndio inasadifu jinsi walivyo cruel kwenye familia zao pia inaonesha haswaa jinsi mjane wa kiafrica anavyonyanyaswa pindi mumewe akifariki, nilidhani hayo mambo yameisha kumbe bado tena hata kwa wanaojiita wasomi.
what a shame!
Unaamini rumours!! yaan Jacky amuue mumewe kwa ajili ya mali wakati alikua kwenye mali, don't be so naive.Unachosema ni sahihi. But That does not justify kuondoa/kufupisha uhai wa mtu kwa sababu ya mali. Hizi rumours zinazo endelea na jinsi anavyo behave kwenye msiba na kabla ya msiba ndio inaleta dosari. Mbona wamekufa watu mashuhuri na wenye pesa wengi na hatujawahi kusikia mambo tunayoyasikia msiba huu. Kama wanamsingizia walaaniwe ila kama amefanya "shame on her" na hatapata amani daima.
Ila sky Eclat, we mtoto ni wa Mujini,Madame alimzawadia kitumbua waziri kijana wa enzi zile. Madam na Klyn walikua ma best, mzee hakwenda mbali.
Hayo ndiyo mambo ya mujini.
Kwamfano Regina age ya kuzaa imeshapita Tayari . Ila abdiel si bado ana mda na anaweza kuoa. Asipoa huyu bro basi Mali zote zitakuja kuwa miliki ya hawa watoto wadogo. Hakuna wa kuzichukua mwingine basi Mzee Mengi hakuwa na makosa kuoa mke Mwingine ili apate watoto . Labda ndio tegemeo la kuendeleza hiyo Mali ya MzeeUmeongea point. Ukute hawa wa pembeni hawakumpenda jacky maana kazaa watt. Walijua watoto wa mercy kwa vile hawana watt (yaan mengi hana wajukuu) ina maana legacy itaishia kizazi cha akina abdiel na regina hvyo wao watachukua kila kitu it is only a matter of time uzao wa regi mengi ungeondoka.
Lakini mengi nae aliwawahi akaleta mapacha... wao ni legal heir of reginald M.
mkuu vipi unajua kama hawezi kuzaa? Au wewe Dr wa familia?Kwamfano Regina age ya kuzaa imeshapita Tayari . Ila abdiel si bado ana mda na anaweza kuoa. Asipoa huyu bro basi Mali zote zitakuja kuwa miliki ya hawa watoto wadogo. Hakuna wa kuzichukua mwingine basi Mzee Mengi hakuwa na makosa kuoa mke Mwingine ili apate watoto . Labda ndio tegemeo la kuendeleza hiyo Mali ya Mzee
Mimi naamini watoto ni privacy ya mtu kama yule abdiel ana watoto lakini hataki wawe public?Kwamfano Regina age ya kuzaa imeshapita Tayari . Ila abdiel si bado ana mda na anaweza kuoa. Asipoa huyu bro basi Mali zote zitakuja kuwa miliki ya hawa watoto wadogo. Hakuna wa kuzichukua mwingine basi Mzee Mengi hakuwa na makosa kuoa mke Mwingine ili apate watoto . Labda ndio tegemeo la kuendeleza hiyo Mali ya Mzee