Picha: Jacky Mengi akiwa na mwanaume wa kiarabu ambaye inasemekana anatoka nae kimapenzi

Picha: Jacky Mengi akiwa na mwanaume wa kiarabu ambaye inasemekana anatoka nae kimapenzi

Yaani wabongo kwa kutunga stori Abdiel mbona anawala sanaa!!!halafu naskia ana mtoto sina hakika sana
Abdiel amemla sana mdogo wake na vanessa mdee yule mimi mars! Dem alikua anavimba sana kidogo achanganyikiwe baada ya kupigwa chini maana alikua ana drive ndinga nzito nzito! Watu humu wanaropoka tu hawajui chochote kuhusu hawa watoto wakubwa wa marehem!
 
Wanaongea tu kufurahisha baraza...dah ndo maana kale katoto kalikua kanajifanya Fanya!ABDIEL sasa si angeoa Mimi mars maana kametulia flani hivi!!!
Abdiel amemla sana mdogo wake na vanessa mdee yule mimi mars! Dem alikua anavimba sana kidogo achanganyikiwe baada ya kupigwa chini maana alikua ana drive ndinga nzito nzito! Watu humu wanaropoka tu hawajui chochote kuhusu hawa watoto wakubwa wa marehem!
 
Sijui dunia sasa iv imepanda super sonic maana inaenda speed ya mwanga sasa[emoji22]
 
Bongo sihami,wallah. Mambo ni mengi mda ni chache. I hate social medias.
Uko sahihi dadangu, niliwahi kumwambia mdogo angu wa kike..KWAMBA NAOGOPA SOCIAL MEDIAS KULIKO HATA MUNU NA 'MAMBO YA MIZAMBI'.....
Ukifanya utani na hizi makitu zina uwezo wa kukuharabia siku,michakato mpaka amani yako ya moyo....
 
Zinaanza picha za kawaida kwanza ...

Tukipinga pinga ndo zinakuja zenyewe Sasa..


Jamani tuendelee kupinga huku kwenye comments wote tuseme hilo ni pozi la kawaida [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jamaa wanasema sifa yake kubwa huyu jamaa ni muda mrefu anaoutumia akiwa uvinza...labda binti amepagawa na hicho pia..mhurumieni wakuu
 
Maalabu nakula tuzu wallah.../ tuzu napagawisha mzee wetu na maalab wallaahy...!mbaya zaidi maalab nakula tuzu na uvinza nakwenda vilevile,mzee wetu nashindwa kwenda uvinza sasa hii naleta mushkeli kidogo.
 
Back
Top Bottom