Picha: Jamaa aliyemtukana Uhuru hababaishwi wala hatishiki, aonyesha ishara kidole cha kati

Picha: Jamaa aliyemtukana Uhuru hababaishwi wala hatishiki, aonyesha ishara kidole cha kati

Kijana hana adabu , kwa huo ufedhuri aliouonyesha wakati akitiwa mikononi mwa polisi , ninahakika alipoingia mahabusu alitambua kuwa sasa yupo wapi na wale mashabiki wake amewaacha wapi , ningekuwa mimi ninayo mamlaka ningalimuweka mahabusu ya magereza kwa week moja tu ndo aanze mahakama ,
 
Yaani we are loaded and ready,
Jaribuni kuleta upuuz mtaishia ktk mipaka wanayoishia nyumbu.

The good thing we are alerted, and we know your strategies fa@@@ weee, tena afadhari ya J ningekuwa mie mngevaa malapa nyang'au wote
Naona mke wa kamanda ziro upo night shift!
 
Yaani we are loaded and ready,
Jaribuni kuleta upuuz mtaishia ktk mipaka wanayoishia nyumbu.

The good thing we are alerted, and we know your strategies fa@@@ weee, tena afadhari ya J ningekuwa mie mngevaa malapa nyang'au wote
Hata mimi naona wangemshukuru Magufuli wa watu amewaheshimu mapema kabisa kuepusha shari akasema wasiandamane.

Hawamkumbuki JK aliekua anawapa kibali cha kuandamana alafu anawakung'uta kichapo cha mbwa mwizi barabarani, wameshasahau walivyokua wanachezea shaba kipindi kile kabisa!!

Hawa watu hawana shukrani, Magufuli kawaheshimu sana hataki purukushani na mtu. Yeye Kazi Tu.
 
Aisee watz mmeamka na hasira gani? Usiku huu wote mnalumbana ya nini? Hii East Afrika ina maneno si haba!
 
Back
Top Bottom