Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahAfadhali na huyu jamaa anachinja watu wanakula nyama fresh.... Wengi huwa wanaokota wale mbwa,paka n.k waliogongwa usiku na magari wanakuja tuchomea tumishkak twa tsh 100 mia. Tunakuwa tutamu hasa. ..
Ipo nchi flan wao mbuzi wanamuona kama sisi tunavyomuona mbwa.Ili mradi haina madhara kwa binadamu hakuna shida..sema tu bado kuna vitu katika jamii yetu bado tunaona ni kama "taboo" lakini vinalika na kufanyika vizuri tu..kule afrika magharibi wanakula kila kitu aisee labda sumu tu.
Mbona paka uku mbeya kunawatu wanakula toka kitambo
ndy serious tena wanachinja mchana kweupeDaaah hii ki2 in serious
Haina madhara kama itaiva vizuri...ila kwa uzoefu kabisa ukiichemsha ina povu mnooo...utafikiri umeweka Omo.Nyama ya Mbwa ina madhara kwa binadamu...?
Mkuu ukiweza vinegar yakutosha au Limao la kienyeji hatoii povu....halafu mnakoseaga akichemshwa usiweke moto mwingi ni slow cooking ili iwe tenderizedHaina madhara kama itaiva vizuri...ila kwa uzoefu kabisa ukiichemsha ina povu mnooo...utafikiri umeweka Omo.
Lini umekula Sumu?visivyoliwa
We ni mtaalam wa nyama za mijibwa ehMkuu ukiweza vinegar yakutosha au Limao la kienyeji hatoii povu....halafu mnakoseaga akichemshwa usiweke moto mwingi ni slow cooking ili iwe tenderized
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haina madhara kama itaiva vizuri...ila kwa uzoefu kabisa ukiichemsha ina povu mnooo...utafikiri umeweka Omo.