ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Sidhani..ila it's a dog man...Nyama ya Mbwa ina madhara kwa binadamu...?
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani..ila it's a dog man...Nyama ya Mbwa ina madhara kwa binadamu...?
Aisee ebu tuache unafiki,kama mtu unaweza nyonya mbususu kuna shida gani kula nyama ya mbwa?Habari zenu wana JF.
Pichani hapo jamaa aliekamatwa akichinja mbwa, akiwa na mbwa huyo, ameshamchinja tayari. Akijiandaa kwenda kumchuna na kumkatakata mishikaki.
Wazee wa kupenda mishikaki pili pili, muwe makini na wauzaji wenu. Kuna siku watu wataanza kulishwa na paka aisee.
View attachment 2304946View attachment 2304947
Mi naamini mwanadamu akiridhia moyoni kipi no sawa nima kipi si sawa Mambo huwa shwari.angalia Congo wanavyokula,China the same . Bongo tunalishwa vingi tu Bora tusivijueAisee ebu tuache unafiki,kama mtu unaweza nyonya mbususu kuna shida gani kula nyama ya mbwa?
😀😀😀😀🤣🤣🤣🤣 umenichekesha sana mkuu hahahaha