Picha: Jameni Wakorea wanaoisaidia Urusi wanafyekwa hadi huruma

Achana hizo propaganda.....
 
 
Wakorea wamepigana mara ya mwisho 1953! Vita ambavyo Marekani alisalimu amri baada ya China kuingilia kati.
Kwa hiyo sidhani kama wana uzoefu kwenye vita vya sasa ambavyo vinatukia silaha za kisasa ambazo zimetengenezwa kwa technoloji ya juu!
 
Sio kila mkristo ni mtumwa wa wazungu kama wewe naamini Kwa wakenya wengi hasa wewe ukiambiwa umepata bwana mzungu au mmarekani huta kataa kuolewa licha ya jinsia yako ya kiume

Kobaz mbona unaji quote hapo, raundi hii mumechanganyikiwa mnapigwa kote na mpaka mtakapoacha ujinga wa kuchokonoa kila mtu na kukubali kuishi kwa amani
 
Hii vita ukimsikiliza Zele unasema Urusi mpaka kesho kwisha habari yake ukimsikiliza mzee wa taekwondo Putin ndio kabisaa unasema Zele akimbie kabla hajachunwa ngozi basi mwenye D moja ya masomo ya dini aelewe

Ukitumia ubongo ulinganishe hako ka-Ukraine na hilo kubwa jinga la Urusi utabaki ukijiuliza maswali sana, miaka mingapi mpaka leo Zele yupo hapo Kyiv, tena jirani wa Urusi.
 
Putin alishagundua maji yamezidi unga akaomba Zele aridhie wamalizane kwenye meza ya mazungumzo, Zele angekubali tu yaishe...

View: https://youtu.be/keP-mG4vN8c?si=i0Lhl0IOVYLQTLwU
 
Kobaz mbona unaji quote hapo, raundi hii mumechanganyikiwa mnapigwa kote na mpaka mtakapoacha ujinga wa kuchokonoa kila mtu na kukubali kuishi kwa amani
Wewe ndo unayechanganyikiwa Kwa ushabiki usio na maana ndo maana wengi wa aina yenu huwa mapunga
 
Kiduku kafanya biashara !
Kapeleka Watu Apewe chakula!
Nimeamini msemo wa wahenga kwamba Njaa inaponza makalio🙄
 
Hivi Urusi ni wa kutafuta usaidizi kwa wakorea kweli?? Supa pawa Urusi kweli
 
Hao ndio walikua wanataka mkono na USA?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…