Unaweza ukafafanua hapo kwenye bold?Mbona mnajisahaulisha kuw mkono wa kulia ni wa uarabuni. Hahahah
Nimeongea kikubwa unanijibu kitoto...Kalale kesho shule ! Saw juniorUnaweza ukafafanua hapo kwenye bold?
Kwamba na mimi ninaetumia mkono wa kulia na weusi wangu huu ni muarabu?
Watanzania tunaacha kulalamika kwanini serikali yetu inatupa elimu duni isiyo na faida duniani, eti tunalalamika kwanini kapokea kwa mkono wa kushoto! Angepokea kwa mkono wa kulia watanzania tungefaidika na nini? Tujifunze kupotezea baadhi ya mambo.
Kitendo cha Mfalme wa Uingereza, Charles III, kupokea nyaraka za kujitambulisha kutoka kwa Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Mbelwa Kairuki, jana kwa mkono wa kushoto kimeibua mjadala.
Mfalme Charles, ambaye hutumia mkono wa kulia, amekosea kupokea kwa mkono wa kushoto?
Watanzania tunaacha kulalamika kwanini serikali yetu inatupa elimu duni isiyo na faida duniani, eti tunalalamika kwanini kapokea kwa mkono wa kushoto! Angepokea kwa mkono wa kulia watanzania tungefaidika na nini? Tujifunze kupotezea baadhi ya mambo.
Kwahiyo elimu ni kwa baadhi ya watanzania! Kwako kukabidhi hii barua ni muhimu zaidi! Kama hivyo sitii neno tena, acha tufundishwe dini tu.Wewe umeyalalamikia ya elimu? Unafikiri yanahusu kila Mtanzania? Nitag kwa Uzi zako.
AaahaaHivi,nawaza tu,mkono wa kushoto si ndipo moyo wa mwanadamu upo?Nafikiri ndiyo upande bora zaidi.Mazoea yetu ndiyo yamejenga imani yetu.Kuna kiungo duni kwenye mwili wa binadamu?Naomba nijulishwe.
Dah kwa kweliHamna cha kumfanya.
Nyamazeni mlale.
Huo ndio Ubabeli a.k.a umafiaNasikia Malikia Elizabeth enzi hizo alimpa mkono Mwl. Nyerere huku kavaa gloves ili amsalimie na Mwalimu naye akampa kifimbo ikawa ngoma droo🐼