Picha: Je Mfalme Charles amekosea kupokea nyaraka za Balozi Kairuki kwa mkono wa kushoto?

Mjanja M1

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
4,058
Reaction score
14,382

Kitendo cha Mfalme wa Uingereza, Charles III, kupokea nyaraka za kujitambulisha kutoka kwa Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Mbelwa Kairuki, jana kwa mkono wa kushoto kimeibua mjadala.

Mfalme Charles, ambaye hutumia mkono wa kulia, amekosea kupokea kwa mkono wa kushoto?
 
BALOZI MBELWA KAIRUKI AKIKATIZA MITAA KWA STAILI YA UTAMADUNI WA WAINGEREZA YA MAMIA YA MIAKA

Habari za balozi Mbelwa Kairuki kuwasilisha utambulisho kama mwakilishi wa Tanzania nchini Uingereza


View: https://m.youtube.com/watch?v=dC6j_ko-iskTanzania High commissioner Mbelwa Kairuki presents his credentials to a King during a private audience at Buckingham Palace (Jonathan Brady/PA)
 
Watanzania tunaacha kulalamika kwanini serikali yetu inatupa elimu duni isiyo na faida duniani, eti tunalalamika kwanini kapokea kwa mkono wa kushoto! Angepokea kwa mkono wa kulia watanzania tungefaidika na nini? Tujifunze kupotezea baadhi ya mambo.
 
Watanzania tunaacha kulalamika kwanini serikali yetu inatupa elimu duni isiyo na faida duniani, eti tunalalamika kwanini kapokea kwa mkono wa kushoto! Angepokea kwa mkono wa kulia watanzania tungefaidika na nini? Tujifunze kupotezea baadhi ya mambo.

Wewe umeyalalamikia ya elimu? Unafikiri yanahusu kila Mtanzania? Nitag kwa Uzi zako.
 
Nasikia Malikia Elizabeth enzi hizo alimpa mkono Mwl. Nyerere huku kavaa gloves ili amsalimie na Mwalimu naye akampa kifimbo ikawa ngoma droo🐼
 
Wewe umeyalalamikia ya elimu? Unafikiri yanahusu kila Mtanzania? Nitag kwa Uzi zako.
Kwahiyo elimu ni kwa baadhi ya watanzania! Kwako kukabidhi hii barua ni muhimu zaidi! Kama hivyo sitii neno tena, acha tufundishwe dini tu.
 
Hivi,nawaza tu,mkono wa kushoto si ndipo moyo wa mwanadamu upo?Nafikiri ndiyo upande bora zaidi.Mazoea yetu ndiyo yamejenga imani yetu.Kuna kiungo duni kwenye mwili wa binadamu?Naomba nijulishwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…