Picha: Je Mfalme Charles amekosea kupokea nyaraka za Balozi Kairuki kwa mkono wa kushoto?

Picha: Je Mfalme Charles amekosea kupokea nyaraka za Balozi Kairuki kwa mkono wa kushoto?

Mama Waziri, Baba balozi Uingereza....

Halafu kuna Baba Mkurugenzi EWURA Mama Spika wa Bunge...

Na kuna wale watoto wa Rais za Zanzibar wake zao ni wabunge wa bunge la Jamhuri au wake zake yeye mwenyewe kitu kama hicho...

Nchi imekamatwa na nepotism and cronyism...

Tunahitaji ma terrorist nchi hii...
 
Mama Waziri wa Nchi, Baba balozi Uingereza....

Halafu kuna Baba Mkurugenzi EWURA Mama Spika wa Bunge...

Na kuna wale watoto wa Rais wa Zanzibar wake zao ni wabunge wa bunge la Jamhuri au wake zake yeye kitu kama hicho...

Kuna Mama Mkwe Rais wa Jamhuri, Mka Mwana Waziri TAMISEMI

Bado kuna wale wa kurithishana wakistaafu, kina Pinda, Kikwete, Makamba, Lowassa, and all the rest of them

Nimeelewa kwa nini nchi nyingine watu wanaamua kuwa ma terrorist, serikali dhalimu hawana jinsi...

Jana Dikteta Putin kapigwa na ma terrorist mjini Moscow hapo siku mbili baada ya kuiba uchaguzi
 
Anayetoa anatoa kwa mikono miwili lakini mpokeaji kwa mkono mmoja tena wa kushoto!!!
 
Back
Top Bottom