BANGO JEUPE
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 3,079
- 2,152
Nyumba ya laki 3.5 sijaiona, kajipange tenaIna vyumba vitatu, kimoja Ni master+choo cha public+Sebule+Dining Room+jiko+
+maji +fensi na Parking ya gari ndogo 5+luku inajitegemea
Ipo Kigamboni
Bei: Tsh. Laki 3.5 kwa mwezi (malipo ni mwaka)
Dalali yangu ni mwezi mmoja
Mob:+255 718 295 182
--------------------------------
Bango
Bei kubwa au ndogoNyumba ya laki 3.5 sijaiona, kajipange tena
Kupangisha alimaanisha..!Nyumba ya laki 3.5 sijaiona, kajipange tena
Mkuu jamaa post ameielewa ,ila anashangaa ubora wa nyumba na bei ya kupangishaKupangisha alimaanisha..!
Ni Madalali wa parking za magari!Madalali si Mzee kawapiga marafuku
Km 1 toka kwenye pantoni nyumba ipo karibu na njia panda ya kwenda darajaniKigamboni hapo feri au
Siwapagi hiyo hela hata watambike.Madalali jipangeni sheria inakuja,mambo ya kuchukua kodi ya mwezi mmoja kama nyumba ulichangia kujenga,kwa kazi ya kuuza maneno tu yatakwisha
Tutaendelea kufata sheria mkuu, hakuna tatizoMadalali jipangeni sheria inakuja,mambo ya kuchukua kodi ya mwezi mmoja kama nyumba ulichangia kujenga,kwa kazi ya kuuza maneno tu yatakwisha
Wenye nyumba ndio wenye maamuzi ya mwisho ya bei anayotaka kupangisha nyumba yake, kama umekutana na tatizo hilo pole sana mkuu, ulikutana na tapeli!Hawa jamaa mm nawapiga vita sana ndio wanasabababisha kodi za nyumba kuwa juu.Hapo usikute mwenye nyumba anataka laki 2.5 yeye anaongeza laki juu theni anataka tena kodi ya mwezi.
Mkuu kama Umenitafuta na umepata nyumba kupitia mimi na Tukaelewana kwa kazi ya udalali, basi unastahiri kunipa hela yangu sawa na taratibu zangu!Siwapagi hiyo hela hata watambike.